Kimeumana baina ya Simba na Inonga

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
16,417
25,359
INONGA: MKATABA WANGU UNAISHA 2024 NA SIO 2025 KAMA INAVYODAIWA

"Mimi siujui huo mkataba wanaousema wao mimi navyofahamu ni kwamba Mkataba wangu unamalizika msimu huu na hivyo ndivyo ilivyo, hili jambo lipo kwa Wanasheria wangu kwa sasa nipo Ufaransa kwa Mapumziko." - Henock Inonga Bakah

#FutbalPlanetUpdates
Screenshot_20240521-220245.jpg
 
INONGA: MKATABA WANGU UNAISHA 2024 NA SIO 2025 KAMA INAVYODAIWA

"Mimi siujui huo mkataba wanaousema wao mimi navyofahamu ni kwamba Mkataba wangu unamalizika msimu huu na hivyo ndivyo ilivyo, hili jambo lipo kwa Wanasheria wangu kwa sasa nipo Ufaransa kwa Mapumziko." - Henock Inonga Bakah

#FutbalPlanetUpdatesView attachment 2998084

Yupo "mapumziko", ligi imeisha?
 
Back
Top Bottom