Kimetokea nini Tanzania Daima?

Kimetokea nini Tanzania Daima?

Tatizo lako Ngwendu hutofautishi kusifia na kueleza ukweli. Mwandishi akisema mbunge fulani wa chadema kasimamia udanganyifu wa sheria iliyopitishwa bungeni, na kuchakachuliwa baadae (mfano sheria ya gharama za uchaguzi) anaifagilia chadema? Ama suala wa wizi wa fedha za uma likishikiwa bango ni kuisifia chadema? Pamoja na ushabiki tuwapime viongozi kwa matendo yao. Mliozoea kidumu chama huwa mawazo yenu hayabadiliki. Ni mpaka wawachukulieni wake zenu ndio mtawaona hawafai. Ipo siku mtaahidiwa kujengewa kituo cha kwenda mwezini Singida, na mlivyo mazuzu mtakubali.
Tanzania Daima ni kwa watanzania wapenda maendeleo, Uhuru, Mzalendo, Habari leo, TBC na vyombo vyote mamluki ni kwa ajili ya propaganda za kinyonyaji.
 
Tatizo lako Ngwendu hutofautishi kusifia na kueleza ukweli. Mwandishi akisema mbunge fulani wa chadema kasimamia udanganyifu wa sheria iliyopitishwa bungeni, na kuchakachuliwa baadae (mfano sheria ya gharama za uchaguzi) anaifagilia chadema? Ama suala wa wizi wa fedha za uma likishikiwa bango ni kuisifia chadema? Pamoja na ushabiki tuwapime viongozi kwa matendo yao. Mliozoea kidumu chama huwa mawazo yenu hayabadiliki. Ni mpaka wawachukulieni wake zenu ndio mtawaona hawafai. Ipo siku mtaahidiwa kujengewa kituo cha kwenda mwezini Singida, na mlivyo mazuzu mtakubali.
Tanzania Daima ni kwa watanzania wapenda maendeleo, Uhuru, Mzalendo, Habari leo, TBC na vyombo vyote mamluki ni kwa ajili ya propaganda za kinyonyaji.
:confused2: Doh
 
2zny2x2.jpg
 
chadema ni washamba sana propaganda zao zimezidi tanzania daima! wanajisifia kama mwanamke malaya!
 
nani anapenda upuuuuuzi wa tanzania daima! ni utoto mtupu hata kama gazeti lao! chadema haina sifa hata ya kupewa mkoa waongoze!
 
chadema ni washamba sana propaganda zao zimezidi tanzania daima! wanajisifia kama mwanamke malaya!
Kama unaweza ukaikubari Mwananchi ukaiponda Tanzania daima nna wasiwasi na uwezo wako wa kutafakari mambo hata yaliyo wazi,kama kweli sio njaa inakusumbua. Nakuomba utafute heading za mwananchi na Tanzania daima usome contents zao ikiwezekana utuwekee hapa afu ili tuone umalaya wao. Ccm wanawafukuza waandishi wa mwananchi afu unarisifia ka sio u mbumbumbu na ujuha ni nini?
 
nani anapenda upuuuuuzi wa tanzania daima! ni utoto mtupu hata kama gazeti lao! chadema haina sifa hata ya kupewa mkoa waongoze!
We kweli unakunya gundu kwa ccm wenzio kwa kujidanganya kuwa ukweli unaweza kufichwa 4ever. Siamini unaweza andika kitu ka hiki ukaendelea kujiita binadamu. We nizaidi ya mnyama fisi. Ckupenda kuyaandika haya ila ckutegemea unimarizie charge na muda wangu.
 
That means wako biased na wanapindisha maadili ya uandishi wa habari.Sasa mbona bado maadili hayo hayo yakikiukwa na vyombo vingine vya habari wanalia?????
Mgazeti mengi huwa yana mlengo na mtizamo wake.Na hii si Tanzania tu angalia magazeti ya Muldoch ambayo yana mlengo wa kulia au Guardian Uingereza mlengo wa kushoto. Sasa Tanzania Daima lina mlengo wa CHADEMA kama ilivyo UHURU mlengo wa CCM. Mleta mada hana chakutushangaza labda tumshangae kwa kutolijua hilo. Endapo CHADEMA itachukua dola usitegemee UHURU watakuwa wakiisifia serikali hiyo. Watakuwa wanakiuka mlengo wa mwenye gazeti!!
Kuhusu maadili ni vigumu sana kuyafuata kama wewe si mwenye mali, usipotaka atakacho achia ngazi. Ndio ukweli wa utendaji kazi.
 
Mgazeti mengi huwa yana mlengo na mtizamo wake.Na hii si Tanzania tu angalia magazeti ya Muldoch ambayo yana mlengo wa kulia au Guardian Uingereza mlengo wa kushoto. Sasa Tanzania Daima lina mlengo wa CHADEMA kama ilivyo UHURU mlengo wa CCM. Mleta mada hana chakutushangaza labda tumshangae kwa kutolijua hilo. Endapo CHADEMA itachukua dola usitegemee UHURU watakuwa wakiisifia serikali hiyo. Watakuwa wanakiuka mlengo wa mwenye gazeti!!
Kuhusu maadili ni vigumu sana kuyafuata kama wewe si mwenye mali, usipotaka atakacho achia ngazi. Ndio ukweli wa utendaji kazi.

Labda nikusahihishe kwamba huwa sileti mada ili kushangaza,naleta ili kujadili.Pili niliileta hii mada baada ya lawama nyingi kutupwa kwa TBC1 siku Chadema wanazindua kampeni pale Jangwani baada ya kukatika kwa matangazo.Tatu,naelewa kila chombo cha habari kina mtazamo wako,nilitaka tu kupata uhakika kwamba katika hali kama hiyo malalamiko huwa ni unafiki kama nawe ndicho unachofanya.
 
hakuna swali la kujibu hapo,ni upuuzi mtupu onaongea

Upuuzi zaid ni kuamin kila usichopenda ni upuuzi kama umeshindwa kujibu vumilia kutodharau comment za wenzako
 
Mbona wanazipa uzito habari za Chadema peke yake???Au ndo mvutia kamba???Kama ni hivi na tusimlaume mtu si ndio?

Tanzaniaa daima wanajitahidi kubalance huwezi kuwalinganisha na magazeti mengine kama uhuru, mzalendo,habari leo,daily news maana kiushabiki tu. Lkn TANZANIADAIMA ukilisoma utakuta story nyingi tu za ccm na vyama vingine hawaonyeshi upendeleo wa dhahiri kama wengine w
 
Back
Top Bottom