ustadhijuma
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 3,133
- 2,117
Duh aisee RUSSIA imepeleka Warship Mediterranean ocean kuzikabiri fighting jets za USA zinazorusha makombora sasa hivi Syria kutokea kwenye Destroyers ambazo zipo Pia mediterranean ocean.Hii ni hatar kwa usalama wa dunia.Wale watu wa mungu msali tu sasa huu ndo muda
Tomahawk Cruise misiles, zinarushwa moja kwa moja kutoka kwenye meli za kivita, lakini Kule Syria si kuna mfumo kabambe wa ulinzi WA anga S-300 na S-400 haikufanya kazi,!!!?
Shika nyonyoSijui tushike lipi sasa kwenye hizi taarifa....
Radio kifua, battery manyonyo
Shika msumariSijui tushike lipi sasa kwenye hizi taarifa....
Radio kifua, battery manyonyo
 hizo ni battery 😀Shika nyonyo
Hizi taarifa mnazitoa wapi?mbona Aljazeera,cnn hawajaripoti?Duh aisee RUSSIA imepeleka Warship Mediterranean ocean kuzikabiri fighting jets za USA zinazorusha makombora sasa hivi Syria kutokea kwenye Destroyers ambazo zipo Pia mediterranean ocean.Hii ni hatar kwa usalama wa dunia.Wale watu wa mungu msali tu sasa huu ndo muda
According to BBC hyo mifumo cha kushangaza haikufua dafuTomahawk Cruise misiles, zinarushwa moja kwa moja kutoka kwenye meli za kivita, lakini Kule Syria si kuna mfumo kabambe wa ulinzi WA anga S-300 na S-400 haikufanya kazi,!!!?
Ni kweli nimeona Fox newsAcheni uongo! Mkipata taarifa za kushtukiza ni vema kwanza mkatembelea BBC, CNN n.k ili muweze kuhakikisha... Hizo ni fake news...
Haijawekwa hiyo mitambo kule Syria.Tomahawk Cruise misiles, zinarushwa moja kwa moja kutoka kwenye meli za kivita, lakini Kule Syria si kuna mfumo kabambe wa ulinzi WA anga S-300 na S-400 haikufanya kazi,!!!?
Bwana mzee porojo za ooh sijui s300, s400 kwamba ni corner stone ni mbwembwe tu. Hazijawahi kufanya kazi in real time...Ile mifumo ni kwa sisi tu tunabishana hapa ila kiukweli hakuna inachoweza fanya
Juzi juzi tu Israel kaingia na ndege zake pale
Putin akaanza piga kelele
Leo kapigwa na hiyo mifumo yake anaanza leta bit za kupeleka aircraft carrier Med Sea
Trump anaendelea kufeli kisiasaUpele umempata mkunaji... Trump kinukishe tu