Hao wamachinga wakatafute wap ridhik?Serikal iache watu wajitafutie na walishe family zao au vbanga waongezeke mitahan
Nilijua tu,
serikali ya kifisadi ikishindwa kukusanya kodi kwa matajili,itakuwa inakimbizana na wamachinga mabarabarani....
Kuna mapambano makali sana yanaendelea hapa Ubungo kati mgambo wa jiji& polisi vs Wamachinga wanao fanya biashara zao maeneo ya Ubungo. Ni nouma
Chagua CCM,Kuna mapambano makali sana yanaendelea hapa Ubungo kati mgambo wa jiji& polisi vs Wamachinga wanao fanya biashara zao maeneo ya Ubungo. Ni nouma
Serikali corrupt haikusanyi kodi huishia kufukuzana na wafanya biashara wadogo barabarani huko...(Mwl.Nyerere)
Nape yuko nyuma ya hili
Kina harufu gani hicho kilichonuka?
Mnyika mchochezi......