Kimenuka ubungo

Hao wamachinga wakatafute wap ridhik?Serikal iache watu wajitafutie na walishe family zao au vbanga waongezeke mitahan
 
Waende machinga complex. Ni muhimu kuwa na nchi iliyopangika. Sio mko baa mnakula nyama choma na kiti cha pili mwingine ananunua viatu na wa numa yake anapaka rangi kucha za miguu michafuuu! Wasitumie nguvu lakini wasafishe mji!
Hao wamachinga wakatafute wap ridhik?Serikal iache watu wajitafutie na walishe family zao au vbanga waongezeke mitahan
 
serikali ya kifisadi ikishindwa kukusanya kodi kwa matajili,itakuwa inakimbizana na wamachinga mabarabarani....

nasikia ni maandalizi ya obama bibi. wanasema kama atapitia ubungo vile?. eti hawataki aone zile t'shirt zake zimetundikwa kwenye mianzi juu ya lile daraja la mto kibangu.
 
Wanaacha mahoteli makubwa wanafukuzana na watu mabarabarani! Viserikali corrupt havikusanyi kodi.-MWALIMU.
 
Back
Top Bottom