Hata Moubaraq Alikua Hawez Kutolewa Nisuala Lamuda 2
Lakini hana authorityWalipomtoa walipata nini? Mbona Mubarak anakula bata tu
Tz ipi? hi ya wa ruga ruga waoga kama nini......Kitanuka tu na Tanzania
In your wet dreamsKitanuka tu na Tanzania
Security ya Tanzania ni kali kuliko ya Egypt???
Hahaha
Lakini hana authority
I always dream of you in those wet dreamsIn your wet dreams
Anakula BATA Wakat kila leo m2 yupo ndaniWalipomtoa walipata nini? Mbona Mubarak anakula bata tu



Kitanuka tu na Tanzania
Anakula BATA Wakat kila leo m2 yupo ndani![]()
Dunia imekaa kivita vita vita vita ya 3 ya dunia inanukia, siku atakayovurugwa Germany ujue kimewaka. Germany hawanaga cha kulemba ktk hiii dunia vita zote za dunia yeye ndio chanzo lakini wengine ni miyayusho tuuuuNi kweli kimenuka. Futa hio alama ya ulizo
Ujerumani hawana kitu sasa hivi.Dunia imekaa kivita vita vita vita ya 3 ya dunia inanukia, siku atakayovurugwa Germany ujue kimewaka. Germany hawanaga cha kulemba ktk hiii dunia vita zote za dunia yeye ndio chanzo lakini wengine ni miyayusho tuuuu
Schwarztiger Draxer
Nyerere square DodomaHivi na sisi Wabongo square yetu ipo wapi?
Jangwani uwanjani au wapi?
Posta Mpya katikati pale au?
Au Kariakoo?
Hatuna jengo au uwanja/upenuni maalumu wa matukio makubwa ya kitaifa kama nchi zingine!
Poor us!