wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,940
- 5,746
Kama kunguruTz ipi? hi ya wa ruga ruga waoga kama nini......
Kama kunguruTz ipi? hi ya wa ruga ruga waoga kama nini......
Al sisi hawezi kubali ondolewa kea sababu ndogo nyepesi km hizo ninaamini watu wa system wa misri wapo kazini kuthibiti hilo wakishirikiana na MOSSAD na CIASisi hawezi kubali hilo kutokea yule atawwsaga saga haswaaaa






Naona Mna Anza Kukubali Kwanjia Isio Yamoja kwamoja yakwamba Hakuna Vita Ya IRAN na USDunia imekaa kivita vita vita vita ya 3 ya dunia inanukia, siku atakayovurugwa Germany ujue kimewaka. Germany hawanaga cha kulemba ktk hiii dunia vita zote za dunia yeye ndio chanzo lakini wengine ni miyayusho tuuuu
Schwarztiger Draxer
Upo sahihi sisi ni zao la mossad na Cia hivyo anajua hakuna wa kuzingua endapo atafanya mauajiWawe makini maana huyo Al sisi haogopi kuwaua kwa mamia kama alivyowafanya wafuasi wa Muslim brotherhood waliokuwa wakiandamana kupinga Marehemu Morsi kupinduliwa na dunia ilikaa kimya hamna kilichofanyika.
Najua mnamtetea kibaraka wenu wakiyahudi ila nisuala la muda 2 SIS lazma asepe Tuiendeshe MISRI Yetu KibabeAaa yule ni staff yupo nyumbani mkuu
Cha ArushaNyerere square Dodoma
Cha mbeya mzeeCha Arusha