MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Kumbe hata mainjinia wana majungu, aisee nchi inajengwa kwa majungu
Kama kuna matatizo kuna ngazi za kuropoti ukiwa mtumishi wa ummaKimenuka Tarura Mwanza, watumishi hawamtaki Meneja, Fuko
Inaelezwa kuwa baadhi ya wafanyakazi katika ofisi ya wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini Tarura mkoa wa Mwanza (TARURA) hawana furaha na imani ya kufanya kazi pamoja na meneja wao wa mkoa wa Mwanza.
Meneja wa TARURA mkoa wa Mwanza ni Bwana Kuyoya Fuko.
Fuko inaelezwa amekuwa akitumia lugha chafu zisizofaa kwa wafanyakazi wenzake ambao wapo chini yake kitendo ambacho kinaelezwa kuwa kero kwa watumishi hao.
Fuko pia amekuwa akitumia nafasi yake kuwakandamiza wenzake pindi anapoona maslahi yake kuingiliwa (upigaji wa dili) jambo ambalo limesababisha baadhi ya watumishi kuanza kuomba kuhamishwa.
Watumishi hao wanaomba kuhamishiwa vituo vingine vya kazi kutokana na kuchoka kufanya kazi pamoja na Fuko ambaye kwa muda mrefu tangu awe meneja amekuwa kero na mtu wa kujikweza.
Watumishi wengi ambao wanakumbwa na kadhia hiyo ya kutolewa lugha chafu ni wanawake ambao wamekuwa wakidhalilisha na fuko ambaye amekuwa na tuhuma nyingi za upigaji dili.
Pia inaelezwa Fuko amekuwa akishirikiana na Mohamed Muanda ambaye ni Meneja Tarura Nyamagana katika kupiga dili zao.
Tuhuma nyingine za Fuko ni kula dili na wakandarasi kipindi zabuni zinapotangazwa inaelezwa amekuwa akiomba (ten percent) kutoka kwa kila mkandarasi ambaye atapata kazi.
Meneja huyo, pia anatuhuma za kuomba kiasi cha Sh. 100 Milioni kutoka kwa kampuni moja ya ujenzi wa daraja ambalo ujenzi wake unaendelea mpaka sasa mkoani Mwanza.
Soon tunaleta ushahidi wa haya ambayo yameelezwa
Kama kuna matatizo kuna ngazi za kuropoti ukiwa mtumishi wa ummaKimenuka Tarura Mwanza, watumishi hawamtaki Meneja, Fuko
Inaelezwa kuwa baadhi ya wafanyakazi katika ofisi ya wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini Tarura mkoa wa Mwanza (TARURA) hawana furaha na imani ya kufanya kazi pamoja na meneja wao wa mkoa wa Mwanza.
Meneja wa TARURA mkoa wa Mwanza ni Bwana Kuyoya Fuko.
Fuko inaelezwa amekuwa akitumia lugha chafu zisizofaa kwa wafanyakazi wenzake ambao wapo chini yake kitendo ambacho kinaelezwa kuwa kero kwa watumishi hao.
Fuko pia amekuwa akitumia nafasi yake kuwakandamiza wenzake pindi anapoona maslahi yake kuingiliwa (upigaji wa dili) jambo ambalo limesababisha baadhi ya watumishi kuanza kuomba kuhamishwa.
Watumishi hao wanaomba kuhamishiwa vituo vingine vya kazi kutokana na kuchoka kufanya kazi pamoja na Fuko ambaye kwa muda mrefu tangu awe meneja amekuwa kero na mtu wa kujikweza.
Watumishi wengi ambao wanakumbwa na kadhia hiyo ya kutolewa lugha chafu ni wanawake ambao wamekuwa wakidhalilisha na fuko ambaye amekuwa na tuhuma nyingi za upigaji dili.
Pia inaelezwa Fuko amekuwa akishirikiana na Mohamed Muanda ambaye ni Meneja Tarura Nyamagana katika kupiga dili zao.
Tuhuma nyingine za Fuko ni kula dili na wakandarasi kipindi zabuni zinapotangazwa inaelezwa amekuwa akiomba (ten percent) kutoka kwa kila mkandarasi ambaye atapata kazi.
Meneja huyo, pia anatuhuma za kuomba kiasi cha Sh. 100 Milioni kutoka kwa kampuni moja ya ujenzi wa daraja ambalo ujenzi wake unaendelea mpaka sasa mkoani Mwanza.
Soon tunaleta ushahidi wa haya ambayo yameelezwa
Kimenuka Tarura Mwanza, watumishi hawamtaki Meneja, Fuko
Inaelezwa kuwa baadhi ya wafanyakazi katika ofisi ya wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini Tarura mkoa wa Mwanza (TARURA) hawana furaha na imani ya kufanya kazi pamoja na meneja wao wa mkoa wa Mwanza.
Meneja wa TARURA mkoa wa Mwanza ni Bwana Kuyoya Fuko.
Fuko inaelezwa amekuwa akitumia lugha chafu zisizofaa kwa wafanyakazi wenzake ambao wapo chini yake kitendo ambacho kinaelezwa kuwa kero kwa watumishi hao.
Fuko pia amekuwa akitumia nafasi yake kuwakandamiza wenzake pindi anapoona maslahi yake kuingiliwa (upigaji wa dili) jambo ambalo limesababisha baadhi ya watumishi kuanza kuomba kuhamishwa.
Watumishi hao wanaomba kuhamishiwa vituo vingine vya kazi kutokana na kuchoka kufanya kazi pamoja na Fuko ambaye kwa muda mrefu tangu awe meneja amekuwa kero na mtu wa kujikweza.
Watumishi wengi ambao wanakumbwa na kadhia hiyo ya kutolewa lugha chafu ni wanawake ambao wamekuwa wakidhalilisha na fuko ambaye amekuwa na tuhuma nyingi za upigaji dili.
Pia inaelezwa Fuko amekuwa akishirikiana na Mohamed Muanda ambaye ni Meneja Tarura Nyamagana katika kupiga dili zao.
Tuhuma nyingine za Fuko ni kula dili na wakandarasi kipindi zabuni zinapotangazwa inaelezwa amekuwa akiomba (ten percent) kutoka kwa kila mkandarasi ambaye atapata kazi.
Meneja huyo, pia anatuhuma za kuomba kiasi cha Sh. 100 Milioni kutoka kwa kampuni moja ya ujenzi wa daraja ambalo ujenzi wake unaendelea mpaka sasa mkoani Mwanza.
Soon tunaleta ushahidi wa haya ambayo yameelezwa
Kwa Majibu yako kwenye huu uzi, wewe ndiye Fuko Mwenyewe. Acha uzinzi wewe Utakufa, chukua hizo tuhuma zifanyie kazi vinginevyo ukileta ujuaji yatakutokea puani. Injinia SOMA HIYO.Kichomiz id yako imefanana na uchangiaji wako, achana na habari za kusikia mkuu, tukikwambia tupe ushaidi, utatuletea wa kusikia, acheni majungu mkuu
Eng Magoti yupi huyo?Acha majungu wewe, inaonekana Evaluation hii imekupita nje, Fuko amefanya kazi muda mrefu na ameaminiwa toka akiwa jiji na alikuwa akifanya kazi nzur leo hii unataka kuleta story zako za chooni
Bila shaka wewe umetumwa kumchafua Fuko ili awachie ile nafasi {Pia nahisi wewe n Eng. Magoti unataka kurudishiwa cheo chako.}
Si wote mkuu, jamaa itakua anataka cheoKumbe hata mainjinia wana majungu, aisee nchi inajengwa kwa majungu
Fanya kazi yako na zingatia taaluma yako. Vinginevyo utakufa kwa kihoro!
Fuko alishatoka Njombe? Mwanza aliondoka na kashfa huyo.
Siamini katika yeye. Ni mbinafsi sana
Previous record of Eng. Fuko's character haishabihiani na haya maji taka. Leta ushahidi.Kimenuka Tarura Mwanza, watumishi hawamtaki Meneja, Fuko
Inaelezwa kuwa baadhi ya wafanyakazi katika ofisi ya wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini Tarura mkoa wa Mwanza (TARURA) hawana furaha na imani ya kufanya kazi pamoja na meneja wao wa mkoa wa Mwanza.
Meneja wa TARURA mkoa wa Mwanza ni Bwana Kuyoya Fuko.
Fuko inaelezwa amekuwa akitumia lugha chafu zisizofaa kwa wafanyakazi wenzake ambao wapo chini yake kitendo ambacho kinaelezwa kuwa kero kwa watumishi hao.
Fuko pia amekuwa akitumia nafasi yake kuwakandamiza wenzake pindi anapoona maslahi yake kuingiliwa (upigaji wa dili) jambo ambalo limesababisha baadhi ya watumishi kuanza kuomba kuhamishwa.
Watumishi hao wanaomba kuhamishiwa vituo vingine vya kazi kutokana na kuchoka kufanya kazi pamoja na Fuko ambaye kwa muda mrefu tangu awe meneja amekuwa kero na mtu wa kujikweza.
Watumishi wengi ambao wanakumbwa na kadhia hiyo ya kutolewa lugha chafu ni wanawake ambao wamekuwa wakidhalilisha na fuko ambaye amekuwa na tuhuma nyingi za upigaji dili.
Pia inaelezwa Fuko amekuwa akishirikiana na Mohamed Muanda ambaye ni Meneja Tarura Nyamagana katika kupiga dili zao.
Tuhuma nyingine za Fuko ni kula dili na wakandarasi kipindi zabuni zinapotangazwa inaelezwa amekuwa akiomba (ten percent) kutoka kwa kila mkandarasi ambaye atapata kazi.
Meneja huyo, pia anatuhuma za kuomba kiasi cha Sh. 100 Milioni kutoka kwa kampuni moja ya ujenzi wa daraja ambalo ujenzi wake unaendelea mpaka sasa mkoani Mwanza.
Soon tunaleta ushahidi wa haya ambayo yameelezwa
Engineer Fuko nitasimama upande wake hadi mtakapoleta ushahidi usio na shaka wa tuhuma hizo. Over!Kwa Majibu yako kwenye huu uzi, wewe ndiye Fuko Mwenyewe. Acha uzinzi wewe Utakufa, chukua hizo tuhuma zifanyie kazi vinginevyo ukileta ujuaji yatakutokea puani. Injinia SOMA HIYO.
Nawe haupishani na mleta mada. Inaonekana mna ugomvi binafsi na watuhumiwa.Nakushauri upeleke TAKUKURU kama una ushahidi. Isije ikawa ni majungu tu.
Kuna wakati, baadhi yenu hasa watumishi wa kitengo cha manunuzi (PMU), wahandisi, mafundi sanifu na wajumbe wa evaluation teams mkiona maslahi yenu na waliowatuma yamekwama, huwa mnapanic na kuchafua watu.
Au ndio vita ya kumchafua Fuko imeanza baada ya bosi wenu Raphael Chilato kupewa za uso na Fuko pale Morogoro kwenye yale mafunzo. Bosi wenu Chilato ana tabia ya kuwatumia baadhi yenu hasa wakuu wa vitengo vya manunuzi (HPMU) katika mikoa ili makumpuni ambayo ana maslahi nayo yapewe kazi, au apewe pesa haramu. Mwambieni Chilato, ashajulikana sasa hivi, sio kama kipindi cha nyuma.
Mwambieni Raphael Chilato ana tuhuma za kupendekeza na kushawishi watumishi ambao ni vibarua na wenye uhusiano nae wa kingono wapewe ukuu wa vitengo vya manunuzi katika mikoa. Kuna mikoa zaidi ya nane, wakuu wa vitengo vya manunuzi katika mikoa hiyo ni vibarua. Majina tunayo. File lipo limejaa ujinga alioshiriki kufanya. Asichokoze watu, tukaandika waraka humu.
Wasiomjua Raphael Chilato, huyu jamaa mpenda ngono ni Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi (HPMU) TARURA makao makuu.
Akiendelea kuzingua, tutaleta humu ndani majina ya vibarua wote waliopewa ukuu wa vitengo vya manunuzi katika mikoa isiyopungua nane. Majina yapo na mikoa ambayo wamepewa hizo nafasi inajulikana.
Kimenuka Tarura Mwanza, watumishi hawamtaki Meneja, Fuko
Inaelezwa kuwa baadhi ya wafanyakazi katika ofisi ya wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini Tarura mkoa wa Mwanza (TARURA) hawana furaha na imani ya kufanya kazi pamoja na meneja wao wa mkoa wa Mwanza.
Meneja wa TARURA mkoa wa Mwanza ni Bwana Kuyoya Fuko.
Fuko inaelezwa amekuwa akitumia lugha chafu zisizofaa kwa wafanyakazi wenzake ambao wapo chini yake kitendo ambacho kinaelezwa kuwa kero kwa watumishi hao.
Fuko pia amekuwa akitumia nafasi yake kuwakandamiza wenzake pindi anapoona maslahi yake kuingiliwa (upigaji wa dili) jambo ambalo limesababisha baadhi ya watumishi kuanza kuomba kuhamishwa.
Watumishi hao wanaomba kuhamishiwa vituo vingine vya kazi kutokana na kuchoka kufanya kazi pamoja na Fuko ambaye kwa muda mrefu tangu awe meneja amekuwa kero na mtu wa kujikweza.
Watumishi wengi ambao wanakumbwa na kadhia hiyo ya kutolewa lugha chafu ni wanawake ambao wamekuwa wakidhalilisha na fuko ambaye amekuwa na tuhuma nyingi za upigaji dili.
Pia inaelezwa Fuko amekuwa akishirikiana na Mohamed Muanda ambaye ni Meneja Tarura Nyamagana katika kupiga dili zao.
Tuhuma nyingine za Fuko ni kula dili na wakandarasi kipindi zabuni zinapotangazwa inaelezwa amekuwa akiomba (ten percent) kutoka kwa kila mkandarasi ambaye atapata kazi.
Meneja huyo, pia anatuhuma za kuomba kiasi cha Sh. 100 Milioni kutoka kwa kampuni moja ya ujenzi wa daraja ambalo ujenzi wake unaendelea mpaka sasa mkoani Mwanza.
Soon tunaleta ushahidi wa haya ambayo yameelezwa
Mkuu mimi siyo Fuko, ila uzi umeletwa kimajungu sana, pia nimekupata inaonekana wewe na mleta uzi, itakuwa Fuko kawaminya mademu zenu ndiyo mana mnamchafua humu ndaniKwa Majibu yako kwenye huu uzi, wewe ndiye Fuko Mwenyewe. Acha uzinzi wewe Utakufa, chukua hizo tuhuma zifanyie kazi vinginevyo ukileta ujuaji yatakutokea puani. Injinia SOMA HIYO.
TARURA Mwanza tunawajua, ni wapiga dili tu na hapo ni mgongano wa maslahi ndo unaleta yote hayo. Wakandarasi Mwanza wanaofanya kazi chini ya TATURA, kazi zao ni za viwango vya chini sana kutokana na pesa nyingi za Mkandarasi kutoa rushwa kwa watumishi wa TARURA Mwanza.Kimenuka Tarura Mwanza, watumishi hawamtaki Meneja, Fuko
Inaelezwa kuwa baadhi ya wafanyakazi katika ofisi ya wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini Tarura mkoa wa Mwanza (TARURA) hawana furaha na imani ya kufanya kazi pamoja na meneja wao wa mkoa wa Mwanza.
Meneja wa TARURA mkoa wa Mwanza ni Bwana Kuyoya Fuko.
Fuko inaelezwa amekuwa akitumia lugha chafu zisizofaa kwa wafanyakazi wenzake ambao wapo chini yake kitendo ambacho kinaelezwa kuwa kero kwa watumishi hao.
Fuko pia amekuwa akitumia nafasi yake kuwakandamiza wenzake pindi anapoona maslahi yake kuingiliwa (upigaji wa dili) jambo ambalo limesababisha baadhi ya watumishi kuanza kuomba kuhamishwa.
Watumishi hao wanaomba kuhamishiwa vituo vingine vya kazi kutokana na kuchoka kufanya kazi pamoja na Fuko ambaye kwa muda mrefu tangu awe meneja amekuwa kero na mtu wa kujikweza.
Watumishi wengi ambao wanakumbwa na kadhia hiyo ya kutolewa lugha chafu ni wanawake ambao wamekuwa wakidhalilisha na fuko ambaye amekuwa na tuhuma nyingi za upigaji dili.
Pia inaelezwa Fuko amekuwa akishirikiana na Mohamed Muanda ambaye ni Meneja Tarura Nyamagana katika kupiga dili zao.
Tuhuma nyingine za Fuko ni kula dili na wakandarasi kipindi zabuni zinapotangazwa inaelezwa amekuwa akiomba (ten percent) kutoka kwa kila mkandarasi ambaye atapata kazi.
Meneja huyo, pia anatuhuma za kuomba kiasi cha Sh. 100 Milioni kutoka kwa kampuni moja ya ujenzi wa daraja ambalo ujenzi wake unaendelea mpaka sasa mkoani Mwanza.
Soon tunaleta ushahidi wa haya ambayo yameelezwa