amatolo
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 690
- 711
Huyo mleta umbea anamjua muulizeEng Magoti yupi huyo?
Huyo mleta umbea anamjua muulizeEng Magoti yupi huyo?
Kucoclude mambo ya Kipumbavu sio Busara;Acheni mambo ya kipumbavu fanyeni Kazi. Wivu na majungu hautawasaidia kitu!!
Pamoja na Mambo yote; Mkuu ni busara sana kuamini lolote linaweza kutokea kwa mtu yeyote unayemuamini/ au Uliyejenga imani kwake hata kama ni wa karibu Vip; Hizi ni tuhuma tu, ambazo zinaweza kuwa kweli au Uongo;Yule jamaa ni miongoni wa waratibu majembe sana anapiga kazi balaa na mambo pia anayajua kwa kiwango cha dunia.hao hawataacha kulalamika maana kuna uwezekano mkubwa wakawa