Kimenuka CCM Arusha sasa vipande vipande

Kimenuka CCM Arusha sasa vipande vipande

Nadhani suala la CCM kuwasafisha watuhumiwa wa Escrow liko wazi sana kwa mtu yeyote mwenye kutafakari; kwamba CCM wanachotaka kufanya ni kuwashawishi wananchi wasiione CCM kama chama cha ufisadi hasa tunapoelekea kwenye suala la uchaguzi. Hata hivyo, hii inaweza kuwaumiza CCM wenyewe, kwamba badala ya wananchi kuona watuhumiwa wa Escrow hawakuwa na makosa, wataona CCM ni chama cha mafisadi wanaoteteana na kulindana hata wakifanya kosa gani. Sidhani kama CCM walitafakari kwa makini athari za kutaka kuwasafisha watu wa Escrow, wakati Bunge lilishatoa tamko. Infact, ushauri wangu kwa CCM ni kwamba wangetumia hiyo nafasi kusema CCM iko tayari kumwondoa fisadi yeyote ndani ya chama kama walivyofanya kwa watuhumiwa wa Escrow.

Umesema vema, lakini ndani ya ccm nani anaweza kuwa na tafakuri ya hivi?
Hata wale ambao wana mawazo mazuri hawawezi kwa sababu ni wachumia tumbo.
Nobody in ccm will think beyond his nose.
 
Mambo ya Bongo ni burudani sana! Juzi Kafuli katunukiwa kwa sababu ya Escrow ! Jana Watuhumiwa wa Escrow wamesafishwa! Hapa sasa nakumbuka na kumwelewa Rais mstaafu Ben Mkapa aliposema Bongo maana yake ni ujanja.

Matukio ya Bongo yanaweza kukufanya kuzinduka hata kama ulikuwa umezimia
 
Muda mfupi baada ya Ikulu kuwasafisha makada waliotuhumiwa kwa kashfa za Tokomeza ujangili na Escrwo wana ccm arusha nao walipuka.

Wanahoji kwanini lowasa hasafishwi kama hao wengine?

Wahiji kwanini lowasa amefungwa mikono na mdomo kisha anaambiwa apigane?

Wanachama hao wa ccm arusha wanahoji kwanini ikulu iwasafishe Maswi,mhongo na wengine lakini haijawahi kudhibitisha wala kukataa tuhuma zilizoelekezwa kwa lowasa?

Wataka na lowasa asafishwe lasivyo pata chimbika.

WanaCCM bwana walitegemea MAEMBE kwenye MLIMAO?Haya ngoja wayasubiri.............
 
Inabidi ccm ijitafakali isifanye mambo kimazoea wakae wakijua kuna ukawa

Mwalimu JKN alisema ...'Aliyezoea kula nyama ya watu haachi kamwe...'Nashangaa mnashangaa kusafishwa kwa wachafu.........
 
Nadhani suala la CCM kuwasafisha watuhumiwa wa Escrow liko wazi sana kwa mtu yeyote mwenye kutafakari; kwamba CCM wanachotaka kufanya ni kuwashawishi wananchi wasiione CCM kama chama cha ufisadi hasa tunapoelekea kwenye suala la uchaguzi. Hata hivyo, hii inaweza kuwaumiza CCM wenyewe, kwamba badala ya wananchi kuona watuhumiwa wa Escrow hawakuwa na makosa, wataona CCM ni chama cha mafisadi wanaoteteana na kulindana hata wakifanya kosa gani. Sidhani kama CCM walitafakari kwa makini athari za kutaka kuwasafisha watu wa Escrow, wakati Bunge lilishatoa tamko. Infact, ushauri wangu kwa CCM ni kwamba wangetumia hiyo nafasi kusema CCM iko tayari kumwondoa fisadi yeyote ndani ya chama kama walivyofanya kwa watuhumiwa wa Escrow.

Good! advice!
 
Lowassa katenda dhambi isiyo sameheka vinginevyo kama unataka kujichafua mwenyewe.
 
Kama hasafishiki si wamtie OMO na kumloweka? Au watumie JIK,lazima atasafishika tu!
Hakuna ufisadi usioweza kusafishika mbele ya cccm
 
Atasafishwa tu kwani kwa CCM kusafishana ni jadi leo kesi ya Mramba na wenziwe akina mgonja ina miaka kumi haijaisha ila Farijara anaongezewa miaka tu kila wakati anapopaswa kutolewa
Pasco ameshaanza ku-play part yake ya kumsafisha kwa hapa jf
 
Last edited by a moderator:
Kafungwa mikono na miguu halafu anaambiwa apigane.Hiyo kamba iliyomfunga ikikatika ndipo mambo yatakapojulikana.Lowassa ni mpiganaji.wakimtema tu Lowassa wamekwisha.
 
Kafungwa mikono na miguu halafu anaambiwa apigane.Hiyo kamba iliyomfunga ikikatika ndipo mambo yatakapojulikana.Lowassa ni mpiganaji.wakimtema tu Lowassa wamekwisha.

Mamba ana nguvu akiwa majini, chukua hatua
 
Nadhani suala la CCM kuwasafisha watuhumiwa wa Escrow liko wazi sana kwa mtu yeyote mwenye kutafakari; kwamba CCM wanachotaka kufanya ni kuwashawishi wananchi wasiione CCM kama chama cha ufisadi hasa tunapoelekea kwenye suala la uchaguzi. Hata hivyo, hii inaweza kuwaumiza CCM wenyewe, kwamba badala ya wananchi kuona watuhumiwa wa Escrow hawakuwa na makosa, wataona CCM ni chama cha mafisadi wanaoteteana na kulindana hata wakifanya kosa gani. Sidhani kama CCM walitafakari kwa makini athari za kutaka kuwasafisha watu wa Escrow, wakati Bunge lilishatoa tamko. Infact, ushauri wangu kwa CCM ni kwamba wangetumia hiyo nafasi kusema CCM iko tayari kumwondoa fisadi yeyote ndani ya chama kama walivyofanya kwa watuhumiwa wa Escrow.
Lakini kuna watu humu walisema matokeo mabaya ya uchaguzi wa serikali za mitaa ni kwa sababu ya Escrow. Sasa itakuwaje wa take kutenda kama unavyosema? Hawa waliosafishwa hawakutenda makosa hayo kwa hiari au matakwa yao ya kiarifu, ndiyo maana ni vigumu kuwaadhibu.
 
Nadhani suala la CCM kuwasafisha watuhumiwa wa Escrow liko wazi sana kwa mtu yeyote mwenye kutafakari; kwamba CCM wanachotaka kufanya ni kuwashawishi wananchi wasiione CCM kama chama cha ufisadi hasa tunapoelekea kwenye suala la uchaguzi. Hata hivyo, hii inaweza kuwaumiza CCM wenyewe, kwamba badala ya wananchi kuona watuhumiwa wa Escrow hawakuwa na makosa, wataona CCM ni chama cha mafisadi wanaoteteana na kulindana hata wakifanya kosa gani. Sidhani kama CCM walitafakari kwa makini athari za kutaka kuwasafisha watu wa Escrow, wakati Bunge lilishatoa tamko. Infact, ushauri wangu kwa CCM ni kwamba wangetumia hiyo nafasi kusema CCM iko tayari kumwondoa fisadi yeyote ndani ya chama kama walivyofanya kwa watuhumiwa wa Escrow.

Ccm wote hakuna aliye msafi kabisa
 
Wapendwa katika Bwana wala msilalamike kuhusu CCM kusafishana, usafi wao ni kweny maandishi ila mioyoni wa Watanzania wanaoteseka na uovu huu, hakuna aliye msafi na kwa kushupaa shingo huku kwa CCM ndio kutasababisha mlipuko wa hasira za wananchi, siku hazigandi na tarehe zinayoyoma kwa kasi kuelekea october, mafuriko ndani ya CCM hayazuiliki hata waweke kingo za namna gani, tayari CCM i hoi kwa mgawanyiko wa wao kwa wao, kilichobaki ni kwa mpinzani wake kumalizia palipobaki na CCM kubaki historia.........Mungu atubariki katika hili, tukeshe tukiomba kwani saa ya ukombozi ni sasa.

Mkuu tupo pamoja ktk maombi ya kuwang' oa hawa magamba
 
Back
Top Bottom