PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,455
Muda mfupi baada ya Ikulu kuwasafisha makada waliotuhumiwa kwa kashfa za Tokomeza ujangili na Escrwo wana ccm arusha nao walipuka.
Wanahoji kwanini lowasa hasafishwi kama hao wengine?
Wahiji kwanini lowasa amefungwa mikono na mdomo kisha anaambiwa apigane?
Wanachama hao wa ccm arusha wanahoji kwanini ikulu iwasafishe Maswi,mhongo na wengine lakini haijawahi kudhibitisha wala kukataa tuhuma zilizoelekezwa kwa lowasa?
Wataka na lowasa asafishwe lasivyo pata chimbika.
Wanahoji kwanini lowasa hasafishwi kama hao wengine?
Wahiji kwanini lowasa amefungwa mikono na mdomo kisha anaambiwa apigane?
Wanachama hao wa ccm arusha wanahoji kwanini ikulu iwasafishe Maswi,mhongo na wengine lakini haijawahi kudhibitisha wala kukataa tuhuma zilizoelekezwa kwa lowasa?
Wataka na lowasa asafishwe lasivyo pata chimbika.