Kimenuka: Baraza la Wakulima Tanzania lawajia juu ACT-Tanzania

Eti Pigo mbona kitu kidogo sana hicho. Sisi washabiki hatufuati jina tunafuata muelekeo wa chama uzalendo, uwazi ,na mdiliko! Hata jina lao likiwa . ( Yaani fullstop) litapata wanachama wengi tu. Hivyo sisi hilo kwetu ni dogo sana.
 
Kimenuka vipi sasa nani wa kupewa lawama kila mmoja yupo kisheria na anafanya kazi zake bila kuvunja sheria za nchi, hawa Baraza la Kilimo walikuwa wapi siku zote kupinga ilo jina.
Kwa mara ya kwanza nimekubaliana na ulichosema. Kwa nini hili Baraza la Kilimo halikuona ufanano huu wa jina hadi ZZK alipojiunga na ACT ndiyo waibuke kudai hayo???
 
ACT = Artemether Combination Therapy (Dawa Mseto ya kutibu Malaria). Nembo hii (ACT) imesajiriwa na shirika la Afya Duniani WHO!
 
Dr Sinare, Katokota!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…