Kimbunga cha moto kinaelekea Israel, raia wa Jordan, Saudia na Israel wamejifungia majumbani.

Kimbunga cha moto kinaelekea Israel, raia wa Jordan, Saudia na Israel wamejifungia majumbani.

Niaje waungwana

Habari ndio hii wakuu, dakika 20 from now, Tel Aviv, Jerusalem na miji mingine ya Israel inakwenda kugeuzwa takataka na majivu.

Update: Tel Aviv ameanza kuwaka moto. Inasemekana Netanyahu ashatorosha familia yake kabisa.

Na bado asuburi wamalize kufuturu, leo hakuna mtu atakaelala usingizi usiku Israel nzima.

UPDATE: Bahrain, Saudia na Qatar zipo under attack kutoka Iran. Hakuna kuku, njiwa wala kunguru anaetoa pua yake nje.

Tayari Netanyahu ashaanza kusalimiwa na Ayatollah hapo Tel Aviv. Iran inasema hayo makombora yalioenda kumsalimia sasa hivi Netanyahu pale pale Tel Aviv yametumwa kwa ajili ya kuutepetesha na kuufubaza ulinzi wa anga wa Netanyahu na genge lake, kisha mashambulizi halisi yatafuatia.

Picha ya wanaozima moto ni shambulizi la sasa huko Israel ambapo Iran wamerusha ili kutepetesha mifumo mibovu ya bibi na babu yake TrumpView attachment 3549957
View attachment 3549910View attachment 3549911View attachment 3549913View attachment 3549921
Aisee..
 
Niaje waungwana

Habari ndio hii wakuu, dakika 20 from now, Tel Aviv, Jerusalem na miji mingine ya Israel inakwenda kugeuzwa takataka na majivu.

Update: Tel Aviv ameanza kuwaka moto. Inasemekana Netanyahu ashatorosha familia yake kabisa.

Na bado asuburi wamalize kufuturu, leo hakuna mtu atakaelala usingizi usiku Israel nzima.

UPDATE: Bahrain, Saudia na Qatar zipo under attack kutoka Iran. Hakuna kuku, njiwa wala kunguru anaetoa pua yake nje.

Tayari Netanyahu ashaanza kusalimiwa na Ayatollah hapo Tel Aviv. Iran inasema hayo makombora yalioenda kumsalimia sasa hivi Netanyahu pale pale Tel Aviv yametumwa kwa ajili ya kuutepetesha na kuufubaza ulinzi wa anga wa Netanyahu na genge lake, kisha mashambulizi halisi yatafuatia.

Picha ya wanaozima moto ni shambulizi la sasa huko Israel ambapo Iran wamerusha ili kutepetesha mifumo mibovu ya bibi na babu yake TrumpView attachment 3549957
View attachment 3549910View attachment 3549911View attachment 3549913View attachment 3549921
Tehran inaungua halafu allah kabarizi tu Pemberton anavuta zake fegi yake
Screenshot_20260228_183817_Chrome.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Wachambuzi wenyewe wamekua kama watangazaji mpira go go goli kiki, kumbe mpira upo katikati ya uwanja 😂😂😂
Bora katikati mpira unakuwaga nje kabisa kwa boy ballers ila sasa hilo vibe tunalopewa mashabiki 😂😂😂
 
Hiyo mvua haifiki tu?
Bahrain, Saudia, Qatar, Kuwait na Israel yenyewe zipo under attack.

Subiri usiku baada ya daku uone eneo zima litavyounguzwa. Raia wa nchi zote washaambiwa wahame maeneo yenye shughuli za kijeshi na serikali. Kwani ndio zitazoenda kugeuzwa majivu usiku huu.
 
Back
Top Bottom