Machame jana mvua na upepo karibia asilimia 70 ya migomba na wire za umeme zipo chini,sa sijui huu mwaka vp tena?poleni wandugu,
poleni sana wanaarusha .kimbunga kimemfuata baba riz nini?
Hapa mtaani kwetu 90% ya migomba imelala chini.
Kuna Mama mmoja jirani na kwng hapa analia machozi ya mtu mzima!
Mi cjui hata Kimbunga hii tuipe jina gani,Na labda tuwasubiri wataalam waje.
wanajf kuna kimbunga kikubwa kimepita arusha sijui kimetoka wapi na sijajua madhara yaliyotokea...nadhan ni katrina
ilikuwa hatari kweli...mbaya zaidi ilikuwa inanyesha mvua ya matope.....dah...kilinikuta sehemu nikawa katikati....kidogo nikosekane duniani leo.......