Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,623
- 1,096
Sababu za Tanzania kutengwa EAC zimebainishwa na Wachambuzi wa BBC 25.12.2013 ktk majumuisho ya matukio 2013;
1. Inasuasua katika suala zima za kuharakisha kuundwa Shirikisho na hasa
2. Inapinga uanzishwaji wa Reli ya kuunganisha nchi Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi
3. Imemshtukia Raisi Mseveni (Uganda) kutaka kuwa Raisi wa Kwanza wa Shirikisho hilo
1. Inasuasua katika suala zima za kuharakisha kuundwa Shirikisho na hasa
2. Inapinga uanzishwaji wa Reli ya kuunganisha nchi Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi
3. Imemshtukia Raisi Mseveni (Uganda) kutaka kuwa Raisi wa Kwanza wa Shirikisho hilo