Kima cha chini cha mshahara kwa CPA(T) without experience

cpa bado ipo juu ndugu zangu
 
People who have no CPA always are Jealous Usifanye Mchezo na Kukabidhiwa Muhuri na Board (NBAA)

Unakuaga hivi

Fulani Bin Fulani
Certified Public Accountant CPA (T)
National Board of Accountants and Auditors
Date..........…................
Tanzania now Kuna CPA 8000, Kama ni muhuri hata sisi masaveya tuna mihuri, architectures wana mihuri
 
Nipo serikalini now tena sehemu wanapoolipa mishahara mikubwa kuliko sehemu yoyote naomba nikupe elimu kinachokupa mshahara mkubwa ni cheo ambacho kinatokana na work experiences na achievements hata uwe na CPA name na masters sits na PhD tisa kama huna experience ukaajiliwa account office 2 baasi utalipwa mshahara saawa na account officer 2 wote

THE WAY FORWARD

elimu without experience is nothing tafuta work experience na achievements ndio utakula mema ya nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku halmashauri kwetu yupo binti mbichi ila anae CPA ila niishie hapa kwa leo
 
Nipo serikalini now tena sehemu wanapoolipa mishahara mikubwa kuliko sehemu yoyote naomba nikupe elimu kinachokupa mshahara mkubwa ni cheo ambacho kinatokana na work experiences na achievements hata uwe na CPA 8 na masters 6 na PhD 9 kama huna experience ukaajiliwa account office 2 baasi utalipwa mshahara saawa na account officer 2 wote

THE WAY FORWARD

elimu without experience is nothing tafuta work experience na achievements ndio utakula mema ya nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio umewaeleza ukweli.
Wengine bado mind zao zinawaza mfumo wa mwaka 1990.
Siku hizi soko la ajira ni la ushindani na waajiri hawaangalii makaratasi tena na badala yake wanaangalia what you produce/output.
Kwa hiyo huu ni wakati wa kufocus Sana na sio kujitengenezea formula eti nikiwa na vyeti fulani nitalipwa kiwango fulani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…