Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Kichwa chajieleza.
Kuna baadhi ya watumishi Serikalini hulipwa kwa kima cha chini, yaani 300,000 Sh. Fedha hii ukikata makato ya NHIF, PAYEE na mfuko wa hifadhi ya jamii mhusika anabakiwa kama 260,000 Shs. Ukiigawa kwa siku za mwezi unapata kama 8000-8500 per day.
Hii ni fedha ya chakula tu kwa mtu mmoja ndo maana inafanana na ile wanayopewa wanafunzi wa Chuo kikuu kwaajili ya chakula.
Huyu mtu hana mke/Mme?
Huyu mtu hatumii usafiri kwenda kazini?
Huyu mtu halali(halipii pango)?
Huyu mtu hanunui/havai nguo?
Huyu ndiye anayeambiwa achape kazi. Nazi gani?
Usije hapa ukasema kuna overtime allowances. Overtime hulipwa kisheria na inalipwa kwa kuwa umeutumia muda wa mtu.
Bodi inayopanga mishahara pamoja na viongozi wa nchi ndio chanzo cha unyanyasaji huu.
Kwenye makampuni binafsi ndo usiseme, full kutesana.
Kuna taaasisi hasa Mashirika ya umma wanajitahidi kwa kuwapatia watumishi wao mahitaji muhimu.
Kuna watumishi wa umma ukimwona mtaani unaweza ukamdhani ni kuli wa bandarini au mchoma tofali, amechoka kwa ugumu wa maisha.
Note: Usiache kazi hata kama mazingira ni magumu kama hujui unaenda kufanya mini huko uendako.
Kuna baadhi ya watumishi Serikalini hulipwa kwa kima cha chini, yaani 300,000 Sh. Fedha hii ukikata makato ya NHIF, PAYEE na mfuko wa hifadhi ya jamii mhusika anabakiwa kama 260,000 Shs. Ukiigawa kwa siku za mwezi unapata kama 8000-8500 per day.
Hii ni fedha ya chakula tu kwa mtu mmoja ndo maana inafanana na ile wanayopewa wanafunzi wa Chuo kikuu kwaajili ya chakula.
Huyu mtu hana mke/Mme?
Huyu mtu hatumii usafiri kwenda kazini?
Huyu mtu halali(halipii pango)?
Huyu mtu hanunui/havai nguo?
Huyu ndiye anayeambiwa achape kazi. Nazi gani?
Usije hapa ukasema kuna overtime allowances. Overtime hulipwa kisheria na inalipwa kwa kuwa umeutumia muda wa mtu.
Bodi inayopanga mishahara pamoja na viongozi wa nchi ndio chanzo cha unyanyasaji huu.
Kwenye makampuni binafsi ndo usiseme, full kutesana.
Kuna taaasisi hasa Mashirika ya umma wanajitahidi kwa kuwapatia watumishi wao mahitaji muhimu.
Kuna watumishi wa umma ukimwona mtaani unaweza ukamdhani ni kuli wa bandarini au mchoma tofali, amechoka kwa ugumu wa maisha.
Note: Usiache kazi hata kama mazingira ni magumu kama hujui unaenda kufanya mini huko uendako.