Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 1,787
- 2,870
Kim Poulsen wamemtimua kufundisha timu ya wakubwa Taifa Stars but it is too late! Tumepigwa nyumbani mechi muhimu sana Algeria na Uganda wakamalizia kwenye mshono!
Nilizungumza sana kocha hatufai huyu TFF hawakusikia wanamtimua kumekucha!
TFF wamuombe Prof Nabi asaidie benchi la Taifa Stars second half kujua timu pinzani inatumia fomesheni gani na counter formation ni ipi na sub wamuingize nani. Tshabalala apumzishwe Taifa Stars kachoka kina Manyama wapo!
Nilizungumza sana kocha hatufai huyu TFF hawakusikia wanamtimua kumekucha!
TFF wamuombe Prof Nabi asaidie benchi la Taifa Stars second half kujua timu pinzani inatumia fomesheni gani na counter formation ni ipi na sub wamuingize nani. Tshabalala apumzishwe Taifa Stars kachoka kina Manyama wapo!