ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Kiongozi wa Korea kaskazini atangaza rasmi kusitisha majaribio ya nyuklia na makombora ya masafa marefu na kwamba NK itafunga sehemu zote ambazo zinatumika kujaribia silaha hizo.
Rais wa Marekani alitumia mtandao wake wa Twitter kusifia hatua hiyo
North Korean Leader Says ‘We No Longer Need’ Nuclear or Missile Tests
Rais wa Marekani alitumia mtandao wake wa Twitter kusifia hatua hiyo
North Korean Leader Says ‘We No Longer Need’ Nuclear or Missile Tests