Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,562
- 15,906
mbona trump hasemi makubaliano ni yepi?
Aharibu nini...?Duh!! Sijui kiduku kadanganywa nini mpaka kakubali, ila yote kwa yote naimani ni uamuz sahihi kwa pande zote hasa hasa korea kaskazini, maana ni wakat muafaka kwa wao kukuza uchumi maana kama teknolojia ameshakuwa nayo, ila hapa mmarekani alipaswa ahakikishe kiduku kaharibu kila kitu ila kwa hiv naona kapuliziwa tu sababu km mabomu anayo, teknolojia pia anayo, akishakuwa na uchumi mzuri itakuwa tabu.
Naona umejipa cheo cha Haji manara kuwa mambo yote ya kim Jong Un ...Kim nikiwa kama muwakilishi wake kwenye eneo la ukanda huu east & central Alisha maliza majaribio yote !
hana cha kujaribu tena na suala la kuharibu ICBM zake hatofanya kamwe!
Hawaelewi, waeleze waelewe...!Ana shida gani tayari ashajihakikishia ana knowledge ya kuyatengeneza
Hahahaha wanasema wasemaji, "Ukiweka ugoko tunashusha nyundo"Trump alisema Hashindwi na Hajawahi Kushindwa...
Akimaliza Hapo Iran wajiandae...
Hakuna Jiwe litasalia Juu ya Jiwe...
Marekani analiwa timing tu...haimaanishi Kim anawalia timing peke yake!Unaposema Kiduku anawalia Timing ina Maana
Haya si mambo ya akili tu ni pamoja na kuangalia 'facts' na kusoma mwenendo wa matukio yanavyotokea. Pia ni kuhakikisha unatafuta taarifa zisizo 'tango pori' na kuzichambua. Ingawa kwenye taarifa za tango pori unaweza kufanukiwa kugundua lengo la mleta tango pori. Na hiyo ikakupa mjumuishi wa kujua kinachojiri ama kitakacho jiri. Kwa kifupi hivyo ndiyo nifuatiliavyo masuala ya ulimwengu. Kuna uwezekano mkubwa na wewe unanjia zako zakujua ya ulimwengu huu.una Akili na Unamjua Sana Kim Kuliko Mike Pompeo
Trump na wenzake wamechanganyikiwa....Russia kawachanganya (kuanzia kiteknolojia za kijeshi mpaka kwenye kujieleza mbele ya Ulimwengu). Kinachofanyika ni kutengeneza mbinu za kuongeza 'approval' rating za Trump na serikali yake kwa ajili ya domestic consumption. Hivi hujiulizi, US na washirika walienda kuwapiga IS huko Syria toka 2013(chini chini) na 2014(waziwazi). Mpaka 2016, IS ilikuwa imechukua eneo kubwa la syria. Russia alivyotia mguu ndani ya miezi karibu 7, IS ilikuwa imevunjwa uti wa mgongo. Cha ajabu, juzi kati Trump anaibuka na kusema amewamaliza IS, what a joke?!Trump na Wenzake
Ya kukutana na Xi, naweza kukubalia mana kuna facts (ushahidi) lakini ya Pompeo bado nina wasi wasi kama jambo hili lilifanyika ana kwa ana!!!Ukweli unabaki Pale pale hakuna Anayejua Kim aliongea nini na Xi Jin Ping
Hakuna anayejua Kim aliongea nini na Pompeo
Jambo linalowaangusha waangusha analysts wengi wa masuala haya ni kutumia hisia kujenga hoja. Facts na ushahidi ndiyo habari ya 'mujini' kwenye kuelekea kuwa analyst anayeaminika. Kwa maelezo yako hapo juu ni hitaji facts na ushahidi usiotiliwa shaka kuyakubali kama yanaweza kujiri ama la!Unaweza kuongea wee kumsifia kim At the end of the day ukashangaa Kim anakabidhi makombora Yaharibiwe Hadharani...
Au uje kushangaa kim anakubali US ajenge Airbase kule Pyong Yang...
Weka akiba ya Maneno uone nini kitatokea...Muda unakuja Tutaona na Kusikia
Mkuu Umenifurahisha Sana Eti "Hamna mashoga Mule"
Nikifikiria North korea na Ubabe wote ule.....Kim Jong Un aliyekuwa anatukana Matusi mpaka ya Nguoni Viongozi wa USA leo amelainika kama Peanut Butter...
Tatizo watu wengi wakisikia USA wanadhani Ni ile Wanayoiona kwenye BBC swahili + VOA
Time will Tell lazima North Korea Aharibu. Au akabidhi Silaha za Nuclear Hadharani... Hicho ndicho USA wanataka na Mambo yameanza kwenda Spidi spidi baada ya China Kuanza kutikiswa Kibiashara...
Syria kashambuliwa bila Russia kujulishwa.Lete source kama unayoU.S.A bado yeye mwenyewe ni kunguru tuu ushabiki ulikua mkubwa sana walivyoshambulia Syria kuja kufatilia undani wa habari kumbe kabla ya kufanya shambulizi lenyewe walimpigia simu RUSIA baada ya RUSIA kutoa ridhaa ndio wakatekeleza shambulio. Achana na hiyo waangalizi wa kemikali wameenda RUSIA kazuia wazi wazi huyu mbabe vipi? Kwa nini asitumie tena ubabe wake kulazimisha kuingia? Kitendo cha North Korea kukubali kusitisha uzalishaji sio cha kufurahia cha kufurahia kilikua ni endapo North Korea angekua amekubali kuharibu maeneo ya uzalishaji wa makombora.
Kaangalie post Na.27 kuna link inayoonyesha uwepo wa mawasiliano kabla ya kufanyika kwa shambulizi husika na uwepo huo wa mawasiliano ndio kulikoifanya UK kukubali kujiunga kwenye shambulizi husika.Syria kashambuliwa bila Russia kujulishwa.Lete source kama unayo
Hiyo ilikuwa taarifa ya kabla ya mashambulizi kwamba wataitaarifu Russia lakini mashambulizi yalifanyika bila taarifa yoyote.Kaangalie post Na.27 kuna link inayoonyesha uwepo wa mawasiliano kabla ya kufanyika kwa shambulizi husika na uwepo huo wa mawasiliano ndio kulikoifanya UK kukubali kujiunga kwenye shambulizi husika.
Poa mkuu umeshinda hawakufanya mawasiliano kabla.Hiyo ilikuwa taarifa ya kabla ya mashambulizi kwamba wataitaarifu Russia lakini mashambulizi yalifanyika bila taarifa yoyote.
Source:
The US says it didn't give Russia any advance warning about targets hit in Syria strikes
Siyo mimi niliyesema,ni USA ndiye alosemaPoa mkuu umeshinda hawakufanya mawasiliano kabla.
Ila ukumbuke tuu kuwa pale kuna Red Line Zone ambayo U.S wala RUSIA hawezi fanya mashambulizi bila kumtaarifu mwenzake ili kujaribu kuondoa athari kwenye mali za jeshi la mwenzake. Ila fatilia pia mahojiano ya Al Jazeera na Sergey Lavrov waliyorusha leo-ameongelea suala hilo pia la kupewa taarifa kabla ya kufanyika kwa shambulizi.Siyo mimi niliyesema,ni USA ndiye alosema