majanga kama hayahaya yashawahi kumkuta ndugu yangu mpaka leo hatujui kisa ilikua ni nini!! (Umaskini+kutokua na connections=tukakosa haki) tulipata kaburi tuu baada yakuutafta mwili muda wawikinzima na mazingira yote yalionesha ni askari ndo walifanya lile tukio na kuzika kwa kigezo mwili hauna taarifa zozote
wakati hawakutangaza popote nasisi tulifatilia kilapahala all in all mungu ndo anajua.Pole sana mkuu. Kuna watu wanafaa walogwe wakojoe usaha na damu mpaka wanakufa. Yaani wana roho mbaya mpaka unashangaa huyu ni binadamu wa aina gani hususani hawa askari wetu, kwani wakiwa huko vyuo vya mafunzo wanafunzwa roho mbaya na uuaji au??!Nawish iendeleemajanga kama hayahaya yashawahi kumkuta ndugu yangu mpaka leo hatujui kisa ilikua ni nini!! (Umaskini+kutokua na connections=tukakosa haki) tulipata kaburi tuu baada yakuutafta mwili muda wawikinzima na mazingira yote yalionesha ni askari ndo walifanya lile tukio na kuzika kwa kigezo mwili hauna taarifa zozote
wakati hawakutangaza popote nasisi tulifatilia kilapahala all in all mungu ndo anajua.
tulipata kaburi tuu baada yakuutafta mwili muda wawikinzima na mazingira yote yalionesha ni askari ndo walifanya lile tukio na kuzika kwa kigezo mwili hauna taarifa zozoteNawish iendeleemajanga kama hayahaya yashawahi kumkuta ndugu yangu mpaka leo hatujui kisa ilikua ni nini!! (Umaskini+kutokua na connections=tukakosa haki) tulipata kaburi tuu baada yakuutafta mwili muda wawikinzima na mazingira yote yalionesha ni askari ndo walifanya lile tukio na kuzika kwa kigezo mwili hauna taarifa zozote
wakati hawakutangaza popote nasisi tulifatilia kilapahala all in all mungu ndo anajua.
wakati hawakutangaza popote nasisi tulifatilia kilapahala all in all mungu ndo anajua.
tulipata kaburi tuu baada yakuutafta mwili muda wawikinzima na mazingira yote yalionesha ni askari ndo walifanya lile tukio na kuzika kwa kigezo mwili hauna taarifa zozotewakati hawakutangaza popote nasisi tulifatilia kilapahala all in all mungu ndo anajua.
![]()
NasubiriSimulizi yetu ilikomea hapa...
Note: Kuna askari (simtaji) ndani ya huu mkasa, alikamatiwa akaachiwa. Nitapiga naye Michapo Jumamosi (kaahidi) Pia Mganga ambaye Mussa alienda kwake ana mengi ya kueleza. Mussa alimtajia hadi majina ya wabaya wake. Akamtajia hadi alivyopata pesa zile. Ilikuwa ni lazima aeleze ukweli ili “atibiwe”
Jinsi Mussa alivyopata pesa pia ni story ya kustaajabisha. Sio madini kama ilivyosemwa naye anaupande wake wa pili wa “giza”
Utulivu wenu ndio utanipa ufatiliaji Mzuri
Wakuu wangu nakuja kwenu kinyonge na kwa moyo uliojaa simanzi kwa taarifa hii ya kutoendelea na hii simulizi kwasasa mpaka hapo baadae kwasababu zilizo nje kabisa ya uwezo wangu
Naomba radhi tena na tena na nawaombeni mbo msinifikirie chochote kibaya.. Kwa namna yoyote ile mambo yatakapokaa sawa tutaendelea.. Mnisamehe sana sana sana. Halikuwa lengo langu kutofika tamati
Asanteni sana kwa kunielewa![]()
Hicho kipande unacho sema unasubiri muda sahihiNapambana mno nipate kipande kilichobakia