Asante sn ndg yanguArusha zinapatikana chuo cha mifugo tengeru
Wapendwa naomba mwenye kujua zinapopatikana mbegu za uyoga anijuze tafadhali nina shida nazo.mi nipo moshi.tnx
Pole sana mkuu sua wako makini naamini taarifa walizokupa ni sahihi na sio longolongo jaribu tengeru kama alivyoshauri mdao hapo juu kilimo chema.hizo mbegu za uyoga nimeteseka nazo xx mwezi wa 5 tena wataalam wenyewe wanatoka sua morogoro kila ukienda mbegu zimeharibika sasa nimeamua kuachana kabisa na kilimo hicho kwan nimekula hasara hela imeenda mbegu hakuna udogo umeharibika maandaliz yote ni bureee..then tunasema tuna chuo cha kilimo shameful saaana......!