Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,117
- 49,473
Habari zenu wanajamvi?
Kwanza kabisa ninaomba kama kuna mwenye elimu juu ya kilimo cha uyoga,
;kuanzia upatikanaji wa mbegu,
:namna ya kupanda
.muda wa kulima mpaka ukomae(uwe tayari kuvunwa)
:na pia masoko yake ndani na nje ya Tanzania,
Asanteni kwa mchango wenu.
Kwanza kabisa ninaomba kama kuna mwenye elimu juu ya kilimo cha uyoga,
;kuanzia upatikanaji wa mbegu,
:namna ya kupanda
.muda wa kulima mpaka ukomae(uwe tayari kuvunwa)
:na pia masoko yake ndani na nje ya Tanzania,
Asanteni kwa mchango wenu.