Aneth mahande
New Member
- Apr 29, 2017
- 1
- 0
Naombeni msaada, kuku wangu wa kienyeji hawataki kulalia mayai ili kupata vifaranga
Kuna vitu vingine huwezi kuingilia maamuzi ya kiumbe hai kama hawataki waache.Naombeni msaada, kuku wangu wa kienyeji hawataki kulalia mayai ili kupata vifaranga
Duh!!!Kuna vitu vingine huwezi kuingilia maamuzi ya kiumbe hai kama hawataki waache.
Na wao wana akili na wanajitambua.
Hao kuku unasema wa kienyeji lakini inawezekana kabisa wakawa si pure kienyeji ila ni chotara. Chotara wanataga lakini hawalalii mayai, wameumbwa hivyo geneticallyNaombeni msaada, kuku wangu wa kienyeji hawataki kulalia mayai ili kupata vifaranga
Kama hawataki waache. Tafuta incubatorNaombeni msaada, kuku wangu wa kienyeji hawataki kulalia mayai ili kupata vifaranga