Kilimo na ufugaji

Naombeni msaada, kuku wangu wa kienyeji hawataki kulalia mayai ili kupata vifaranga
Hao kuku unasema wa kienyeji lakini inawezekana kabisa wakawa si pure kienyeji ila ni chotara. Chotara wanataga lakini hawalalii mayai, wameumbwa hivyo genetically

Unahitaji kuweka hayo mayai kwa kuku mwingine anauelalia au kwenye mashine ya kutotoa vifaranga (eggs incubator)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom