emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,052
- 1,526
Wakuu,
Sehemu nilipo ardhi yake ni mchanga sana na mazao jamii ya mbogamboga hayastawi kwa sababu ya jua kali na udongo mchanga sana usiokuwa na rutuba.
Ninataka kufanya kilimo biashara kwenye crates au container za plastics kama zile za kubebea mikate. Nitahamisha udongo na kujaza hizo container then nitaotesha mimea yangu.
Ninaomba kufahamu wapi nitapata crates au container za plastic ninazoweza kuzigeuza kuwa kibebeo kizuri cha udongo na kuweza kuotesha mimea
Sehemu nilipo ardhi yake ni mchanga sana na mazao jamii ya mbogamboga hayastawi kwa sababu ya jua kali na udongo mchanga sana usiokuwa na rutuba.
Ninataka kufanya kilimo biashara kwenye crates au container za plastics kama zile za kubebea mikate. Nitahamisha udongo na kujaza hizo container then nitaotesha mimea yangu.
Ninaomba kufahamu wapi nitapata crates au container za plastic ninazoweza kuzigeuza kuwa kibebeo kizuri cha udongo na kuweza kuotesha mimea