nimeianyia utafiti mbolea ya super grow ya kampuni ya golden neo life diamite international hapa kwangu nimeona itatufaa sana wakulima kwani gharama yake ni nafuu sana na ubora wake ni mkubwa... jaribu kui "google" usome maelezo yake
super grow, inatengenezwa na usda, nipo dar es salaam, bei inategemea na mahari ulipo kufuatana na gharama za usafili, ila ni nafuu sana kwa mkulima. kwa maelezo zaidi nipatie e mail yako nikutumia
yah hata masasi inakufikia kwa njia ya posta... bei itategemea na kiwango cha ukubwa wa shamba lako. mfana kwa kwa hekari 10-15 unaweza kutumia si zaidi ya 120000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.