Jamaa mtaji alijichotea , kwa status yake vikwazo kibao vya kimamlaka anavivuka , sjui vibali vya hapa na pale mara tozo , na masoko ya nje anayafikia fresh tuu , lazima apige pesa....asa we mkrungwa jichanganye bila kujipanga ndo utajua hujui
Ukishakuwa na soko la uhakika kilimo kinalipa
Na soko la uhakika ni kuwa na sehemu ambayo unajua ukishavuna tu unaupeleka na kuchukua pesa zako sio unafika sokoni unaanza kusubiri wateja wa magengeni wa kununua kisado kimoja kimoja
Jamaa mtaji alijichotea , kwa status yake vikwazo kibao vya kimamlaka anavivuka , sjui vibali vya hapa na pale mara tozo , na masoko ya nje anayafikia fresh tuu , lazima apige pesa....asa we mkrungwa jichanganye bila kujipanga ndo utajua hujui
Acheni kutisha watu vijana wanapata pesa kwenye kilimo kuna dogo pale lukuledi kapiga milion 9 za nyanya na ana vitunguu kama gunia 70 kazihifadhi hivi mtu kama huyu akisoma Comment yako humu si atakuonna wewe ni mwehu?
Acheni kutisha watu vijana wanapata pesa kwenye kilimo kuna dogo pale lukuledi kapiga milion 9 za nyanya na ana vitunguu kama gunia 70 kazihifadhi hivi mtu kama huyu akisoma Comment yako humu si atakuonna wewe ni mwehu?