Ahsante kwa michango yenu wataalam, hapa nmeamua nchukue mbegu kutoka kwa wakulima njarbu heka tano nione km nitapata manufaa
 
Wanajamvi na hasa wakulima wa vitunguu naomba msaada wetu.
Kwenye kitalu changu cha vitunguu maji nilianza kuona majani ya vitunguu yakinyauka na kuwa meupe. Uchunguzi kwenye udongo umeonyesha kuwepo kwa wadudu (funza/ viwavi) wanaokula miche kwenye mizizi
Your browser is not able to display this video.

ndani ya udongo.
Angalia video hii fupi (miche ina wiki 4 sasa- naogopa nisije kujikuta nahamishia wadudu hawa shambani)
 
Pole sana mkuu.
Tafuta dawa zifuatazo: Attakan C 350 SC, Farmguard 344 SE au General 200SL. Piga kwenye majani na kwenye udongo.

Naamini watakufa wote hao.

Mtalula Mohamed,
Mogriculture TZ
 
Wadau namshkru Mungu nlpata mbegu kwa wakulima huko singda nkanunua debe mbili ya mbegu jumla ikatumia lak 8, kwa kwel nmwaga kwenye kitaru zmeota zote najiandaa kuanza kusambaza shamban
 
Mkuu twende sawa usikatae tamaa kutupa darasa.

Mfano Tyr nimeshapandikiza shambani je nisubiri muda Gani kuweka mbolea ya kukuzia ?
Ipi mbolea nzuri kati ya NPK na urea kwenye kukuzia?

CAN I unaweka baada ya muda Gani mkuu?

Hadi kuvuna Kwa heka Moja

Inahitajika mifuko mingapi ya mboloea ya kukuzia
Nk? Ahsantee
 
Wadau ni wazi wote tupo interested na horticulture na kwasasa mada asilimia kubwa imekuaa ni vitunguu.naomba basi na mimi kutoaa mchango wangu wa mawazo na tafiti nilizofanya ambazo ni kua ukipata udongo ambao unakubali vitunguu swaumu basi ivyo kama wewe sio mtu wa kukata tamaa utakuja kua mwenye mafanikio.naombeni tufunguee mjadala wa kilimo cha vitunguu swaumu kama hamtojali tuendele kuelimishana kila mtu kwa nafasi yake atoe mchango wa kitu ambacho anakifahamu kuhusu kilimo iki kwa mfano; vitungu swaumu ni rahisi sana kuota katika aina hizi za udongo,mfinyanzi,tifutifu na sio kwenye volcanic wala kichanga.
Pia kuna aina tatu za mbegu kwamajina ya kizungu 1. Elephant garlic ambayo hulimwa asilimia kubwa na wachina 2.soft neck ambayo hulimwa sana mbeya 3. Na hard neck kanda ya kaskazini hususani manyara.
Pia katika kilimo watu tusifanye kwa mazoea au kwakujaribisha nakuacha tu bali hii ni biashara kama biashara nyingne lahasha bas usitegemee mafanikio ya haraka ila jua tu hila ya kwamba utafanikiwa. A farmer is always patient.
Pia angalia uwezekana kwa kujiinga na mashrika mbali mbali kwa mfano TAHA Tanzania horticulture association ambayo kwa mkulima mdogo uanachama ni shilinhi 200,000 kwa mwaka hawa msaada wao mkubwa ni kwamba ipo siku katika siku zako ambazo umechumia juani ukapata mali nyingi sana watakusaidiaa kupata masoko na ni watu walionyoka unaweza watembelea page ya katika mitandao ya kijamii na piaa ni private organizations ambayo inatumika kama voice of farmers when need to be.hii inakufanya uwe imara zaidi na kusonga mbele.
Bei ya shambani swaumu as of 20th may
Swaumu kavu 2M
Swaumu mbichi 1.1M
#mbira industry
 
Aisee! Mmepiga hela balaa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…