Kilimo cha mpunga

Kilimo cha mpunga

Madize

New Member
Joined
Jul 3, 2025
Posts
2
Reaction score
1
Jamani habari za sahizi nduguzangu,

Nimepanga kuingia katika kilimo cha mpunga, kuna rafiki yangu mmoja kanambia kwa kilipo cha mpunga kahama kina lipa hasa maeneo ya Mwendakulima. Sasa swali langu ni kuna mtu mwenywe uzoefu au anayejua zaidi kuhusiana na hayo mawazo. Maana hata huyo rafiki yangu pia hana connection yoyote na sio mjuzi wa maswala hayo kwa sana

Pamoja na gharama zote za kufanya kilimo hicho kwa sisi wageni wa biashara hii au kama napata mtu wakunisahidia mtu wa kushirikiana nae nitashukuru awe anapatikana mwendakulima kahama
 
kukusaidiaje mkuu?

Maeneo mazuri ya kulima ni sawa kahama hujakosea kuhusu mwendakulima sijawahi fika ila maeneo ni mengi tu mfano geita ( kwetu) naweza kukupa ushirikiano wa kukutafutia eneo la kukodi zuri bila gharama yoyote ila usafiri tu.

Na muda mzuri ni huu wa kuchukua maeneo ukichelewa hadi wa8 utakuta pazuri pote pamekodishwa. Kahama na geita zimepakana.
 
Jamani habari za sahizi nduguzangu,

Nimepanga kuingia katika kilimo cha mpunga, kuna rafiki yangu mmoja kanambia kwa kilipo cha mpunga kahama kina lipa hasa maeneo ya Mwendakulima. Sasa swali langu ni kuna mtu mwenywe uzoefu au anayejua zaidi kuhusiana na hayo mawazo. Maana hata huyo rafiki yangu pia hana connection yoyote na sio mjuzi wa maswala hayo kwa sana

Pamoja na gharama zote za kufanya kilimo hicho kwa sisi wageni wa biashara hii au kama napata mtu wakunisahidia mtu wa kushirikiana nae nitashukuru awe anapatikana mwendakulima kahama
Si mzoefu sana kwa kuwa nimetoka kulima msimu huu ulio isha na ndiyo mala yangu ya kwanza, nimeishia kurudisha gharama nilizotumia tu. Kama umeamua kuingia karibu kilingeni.
 
Back
Top Bottom