fadtanji
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 767
- 999
Sijawahi kulima mkuu.Vipi matango na giligilani haujawahi Lima! !
Sijawahi kulima mkuu.Vipi matango na giligilani haujawahi Lima! !
Sijawahi kulima mkuu.
Sawa kiongozi ntafurahi siku nije nipate japo shamba darasa kwako
Karibu sana Lushoto mkuu, kuna changamoto kidogo ila nashukuru ukiweza kuzivumilia unakula matunda yake na maisha yanaenda poa.Sawa kiongozi ntafurahi siku nije nipate japo shamba darasa kwako
Karibu sana Lushoto mkuu, kuna changamoto kidogo ila nashukuru ukiweza kuzivumilia unakula matunda yake na maisha yanaenda poa.
umefikia wapi mkuu..Huwa najaribu sana kupunguza katika hii sekta ya kuliko na ufugaji
Sekta ya Kilimo hususani bustani inalipa kama ukijipanga ila nadhani ni most time demanding kama kule kwenye ufugaji wa kuku wa kisasa
Yaani hizo maeneo zinadeka kupita maelezo. Zinahitaji uwe unazisimima kama familia yako ila ukizipatia mondo unatoboa
Mimi najipanga kuanzisha kilimo cha majani ya ng'ombe hayo nimegundua hayahitaji kabisa Kero yanachapa lapa tu
Nimeshaanza kuyalimaumefikia wapi mkuu..
Hongera mkuu, unalimia maeneo gani na bei ipoje wakati wa kuuzaMie nalima Chinese na spinach ila nawauzia majirani na nyingine ni za familia