Kilimo cha mboga mboga

Hebu eleza kidogo kuhusu automatic irrigation.

Naam.mifumo hii ya umwagiliaji inalenga kutatua matatizo makuu katika kilimo
1:manpower ya kumwagilia shamba.kwanimifumo hii hutumia solar power (40awtts-100watts ) kuendesha microntroller ndogo inayofanya kazi ya kufunga na kufungua bomba kutoka kwenye tank ya kuhifadhia maji au kuwasha water pump ili kuruhusu maji kwenda kwenye shamba pale inapobaini kuwa mimea inahitaji maji na kufunga pale inapojiridhisha kuwa udongo una maji ya kutosha hii ni economic zaidi kwa mazao yanaota kwa mashina mfano Nyanya ,matikiti na hata yanayoota kwa sensa
2;maeneo yenye upungufu wa maji(area with inadequate irrigation water sources).
mifumo hii ni mizuri pale panapokuwa hakuna maji ya kutosha kwa ajili ya umwagiliaji.kwani ni wazi kwamba unapomwagilia ndoo ya maji kwenye shina la mnyanya sio maji yote yatatumiwa na mnyanya .bali kitaalamu utakuta nusu lita ndio inayotumika tu mengine hupotea kama mvuke(evaporation ,aeration) na hivyo maji kupotea bure.mifumo hii hutumia sensor zinazo chimbiwa karibu na mmea ili kuweza kutambua matumizi sahihi (economic) ya maji ili kuepusha maji kupotea bure.
Faida kubwa ya mfumo hii .hujiendesha yenyewe katika kipindi chote cha mimea iwapo shambani bila kuhitaji usaidizi hivyo kuondoa tatizo la manpower.mitambo hutoa alarm na kujizima maji yanapo kwisha kwenye tanki ya maji .unapaswa kuhakikisha maji hayaishi kwenye chanzo.
 
gharama hutegemea na ukubwa wa shamba

Ni kweli inategemea na ukubwa wa shamba ila unaweza kutoa gharama hata za ekari moja au nusu ekari ili tupate picha na jinsi ya kuamua kuwa kumbe ninauwezo wa kumudu hekari kazaa, msaada tafadhari mkuu
 
Ni kweli inategemea na ukubwa wa shamba ila unaweza kutoa gharama hata za ekari moja au nusu ekari ili tupate picha na jinsi ya kuamua kuwa kumbe ninauwezo wa kumudu hekari kazaa, msaada tafadhari mkuu
inategemea unalima zao gani .mazao yanayoota kwa mashina kwa mfano nyanya huwa na gharama ndogo zadi .mfano ekari moja ya nyanya inahitaji ya fuatayo.
1:tank za kuhifadhi maji(kununua ama kujenga za matofari zisipunge lita 7000) gharama juu yako:
2;mipira inayopita kwenye mashina (garden horse-drip irrigation) gharama juu yako.bei ya reja reja mita sh1000 inayoendana na ukubwa wa shamba
3.kibanda kidogo kwa ajili ya solar power system ( 80-100 watts) ujenzi juu yako pamoja na solar
4:baada ya kuweza kumudu hayo juu uunganishaji pamoja na microcontroler hufungwa kwa gharama nafuu ya laki sita zikiwa na guarantee ya miezi kumi na sita,gharama za ufungaji wa hii ni sawa kwa hekari mpaka 4.gharama huongezeka kwenye mipira tu.
 
inategemea unalima zao gani .mazao yanayoota kwa mashina kwa mfano nyanya huwa na gharama ndogo zadi .mfano ekari moja ya nyanya inahitaji ya fuatayo.
1:tank za kuhifadhi maji(kununua ama kujenga za matofari zisipunge lita 7000) gharama juu yako:
2;mipira inayopita kwenye mashina (garden horse-drip irrigation) gharama juu yako.bei ya reja reja mita sh1000 inayoendana na ukubwa wa shamba
3.kibanda kidogo kwa ajili ya solar power system ( 80-100 watts) ujenzi juu yako pamoja na solar
4:baada ya kuweza kumudu hayo juu uunganishaji pamoja na microcontroler hufungwa kwa gharama nafuu ya laki sita zikiwa na guarantee ya miezi kumi na sita,gharama za ufungaji wa hii ni sawa kwa hekari mpaka 4.gharama huongezeka kwenye mipira tu.

hapo tuko pamoja nimekupata mkuu
 
Back
Top Bottom