Kilimo Cha Mbaazi

Kilimo Cha Mbaazi

Truthg

Member
Joined
Sep 3, 2015
Posts
54
Reaction score
17
wadau naomba kuuliza, ni wapi zinapatikana mbegu za mbaazi kwa mikoa ya Mbeya, Iringa Njombe na Ruvuma?
 
Mbegu zinapatikana nchi nzima... Weka oda yako kwa kupitia Graduate farmers upatiwe na ushauri
 
nasikia mbaazi ni mmea.muhimu sana kwa wachawi na waganga,kama mchawi hana huu mti hajakamilika,wakitoka usiku lazima wawe nao,wanaitumia kuhifadhi misukule,waganga nao wanaitumia kwa tiba
 
Huku kwetu mbaazi ni zao la Biashara,ila msimu huu mnunuzi wa bidhaa hii ametughilini sana,yaani bei imeshuka mara tatu ya msimu uliopita
 
Back
Top Bottom