Kilimo cha kisasa cha maembe

Kilimo cha kisasa cha maembe

Kumekuwa na malalamiko kuwa ili uweze kuuza Azam, ni lazima upitie kwa dalali, je kuna ukweli kiasi gani kuhusu hilo?
Sina uhakika kwenye hilo,lakini mbona pale Azam kiwandani ndiko malori yanakwenda kupaki kusubiri utaratibu
 
Shida hiyo,na inatokana na nini?Inatokana na kuwepo kwa mnunuzi MKUU MMOJA
wewe umesema umefatilia, but sio kweli, hujafatilia chochote, majibu yako kwa kila unachoulizwa unajibu, sijui, sina uhakika. Nakuomba hujafanye tafiti, then uje uchangie mada
 
Hio ndio shida kuu kuliko zote mkuu,haiwezekani nchi nzima tunalima tukiwaza kumuuzia Azam ni ajabu sana kwa kweli.
Soko la maembe ni pana, tatizo ni kufikia kiwango kinachohitajika. Maembe ya kisasa soko lake liko juu sana, but kama ni maembe ya kienyeji then soko tegemea sehemu moja tu.
 
Soko la maembe ni pana, tatizo ni kufikia kiwango kinachohitajika. Maembe ya kisasa soko lake liko juu sana, but kama ni maembe ya kienyeji then soko tegemea sehemu moja tu.
Soko lake liko wapi mkuu,utakua umesaidia wengi humu jamvini mkuu.
 
wewe umesema umefatilia, but sio kweli, hujafatilia chochote, majibu yako kwa kila unachoulizwa unajibu, sijui, sina uhakika. Nakuomba hujafanye tafiti, then uje uchangie mada
Nimefatilia aina ya maembe, wananunua za aina zote,nimefatilia wananunuaje? WANANUNUA KWA TANI!
Sikufatilia mambo ya dalali.
Kama sikueleweka mdau samahan,ila unaweza kwenda mbagala au unaweza kufatilia kwenye website yao.
Sasa kweli niseme kuna dalali wakat SIJUI???
Nachojua pale wanapokea mzgo kutoka sehem zote za nchi
 
Aisee mkuu asante kwa info lkn hapa kumbuka unaongea na Wabongo wenye kumiliki heka 1 au nusu heka ya shamba lenye maembe.Export sio Jambo linalowezejana kwao.

Ila kwangu mimi asante sana hizi info zitanifaa sana mkuu.
kuna msemo unasema "if you want to walk faster, you walk alone, but if you want to walk far, walk with others" kimsingi nakushauri hata wewe sio vizuri uwe peke yako, hao wenye heka moja moja na nusu heka heka, wachukue, ungana nao wewe mwenye heka 1000 ili muweze ku export. Mimi ndiyo naandaa shamba, ndiyo maana nafanya utafiti wa soko kwanza kabla sijaingia kwenye biashara yenyewe. Mkuu mng'ato naweza pata mawasiliano yako mkuu?
 
Heshima kwenu wadau.

Wadau ninataka kuanzisha kilimo cha Maembe, nilienda Amagro nikaongea nao juu ya ununuzi wa miche na kilimo chenyewe kwa ujumla, lakini bahati mbaya hawana wakala Njombe wa kuweza kuniuzia miche.

Naomba mdau mwenye mawasiliano au anayejua wapi ninaweza kupata miche bora na mwenye aina mbali mbali za miembe kwa Njombe, Mbeya au Makambako akanipatia.

Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom