Kilimanjaro yashika namba 1 kitaifa matokeo ya kidato cha nne 2018

Ukichunguza hiyo tathimini utaona kwamba kilimanjaro ina ubora mkubwa sana kwani ina shule nyingi ktk hayo matokeo na bado wamwfaulu na kuipita mikoa yenye shule chache na zilizoshindwa pia
wingi wa shule sio hoja
hoja n ufaulu
 
Ukizaliwa uchagani jua una degree ya uhasibu na usimamizi wa fedha!!

Elimu, Umoja na Biashara ndio nguzo zetu!!
wengine wanaona wivu sana na kujaribu kuiga lakin wapi
mfano wahaya nao wanajaribu kuiga ile ya kwenda home krismas lkn wamedoda
 
Ukizaliwa uchagani jua una degree ya uhasibu na usimamizi wa fedha!!

Elimu, Umoja na Biashara ndio nguzo zetu!!
wengine wanaona wivu sana na kujaribu kuiga lakin wapi
mfano wahaya nao wanajaribu kuiga ile ya kwenda home krismas lkn wamedoda
 
Kuna mtu yuko huko,kanidokeza sasa hivi kuwa pia kuna "self spirit" kwa wenyeji ya kupenda kujitolea (michango) kuboresha shule shule zao nje ya juhudi za serikali!
hiyo haijaanza Leo,kule hawaitegemeagi serikali sana mambo mengi wanafanya wenyewe,hususan ujenz wa shule zahanat nk kule hakuna uhaba wa huduma KBS
ndio maana n mkoa unaoongoza kwa kuwa na shule nyingi
pia kule machame kuna kijiji fulan wamechanga hela wanaweka lami yao binafsi ktk hicho kijiji
 
Kilimanjaro shule nyingi ni binafsi sio za serikali na wanachuja wanafunzi. Sio shule za serikali wanaokataa mtoto kukariri darasa.
acha kuongea pumba
mkoa unaoongoza tz kwa shule za kata n Kilimanjaro, ile kampeni ya kwamba kila kata iwe na sec wakati ikianza ,Kilimanjaro ilikuwa haihusiki maana watu wa kule cku nyingi walishajichanga wakajenga
kule n kitu cha kawaida kukuta shule ya kata INA gorofa
pia n kitu cha kawaida kukuta kata moja INA secondar zaidi ya 2
Fanya uchunguz kabla ya kuongea
 
Msiozoea kuongoza,..Siku mkiongoza,kelele nyingi.Mbona Njombe wameongoza mara kibao,hawaja leta makelele humu.?Acheni ushamba
acha ushamba
Kilimanjaro kuongoza n kawaida na sio Mara moja
njombe ndio iliotea tu mwaka Jana,mwaka huu imekuw ya 16
 
Msiozoea kuongoza,..Siku mkiongoza,kelele nyingi.Mbona Njombe wameongoza mara kibao,hawaja leta makelele humu.?Acheni ushamba
acha ushamba
Kilimanjaro kuongoza n kawaida na sio Mara moja
njombe ndio iliotea tu mwaka Jana,mwaka huu imekuw ya 16
 
Nilimuuliza swali alieongoza mwaka jana ni mkoa gani na mwaka juz ni mkoa gani ..kwel maskin akipata matako hulia mbwataaaaaa
tatizo n akili zenu ndgo
kwa miaka 10 KLM haujawah kosekana kumi bora,na imekuwa ya kwanza miaka kRib 3 mfululizo fuatilia
njombe iliingia kwa Bahat tu ndio maana mwaka huu imekuwa ya 16
 
Nilimuuliza swali alieongoza mwaka jana ni mkoa gani na mwaka juz ni mkoa gani ..kwel maskin akipata matako hulia mbwataaaaaa
tatizo n akili zenu ndgo
kwa miaka 10 KLM haujawah kosekana kumi bora,na imekuwa ya kwanza miaka kRib 3 mfululizo fuatilia
njombe iliingia kwa Bahat tu ndio maana mwaka huu imekuwa ya 16
 
Harafu walivyo akili ndogo...Hawajiulizi Njombe imekuwa mkoa lini,...Imeongoza mara ngapi? na KLM imekua mkoa toka lini,..Imeongoza mara ngapi? Mwenye akili timamu, Njombe ndio mkoa unaoongoza kitakwimu kushika namba 1, std 7,fm 2, na 4.Kulingan na muda wake kuwa mkoa.Na ikifikia umri wa KLM kiumri,NJOMBE itatisha kuliko huo utumbo walioleta hapa!
akili za kimaskini utazijua tu
Kilimanjaro kwa miaka zaidi ya 10,haijawa kosekana big 5
na sio ajabu kuongoza ilishaongoza Mara nying sana
njombe imekuwa ya 16 mwaka huu ndio ujue iliingia kibahat mwaka jana
 
kwa miaka kumi mfululizo Kilimanjaro haijawah kosekana big 5
n kawaida kuongoza kitaifa wala sio MRA ya kwanza
Asante kwa hilo. Hoja yangu bado haijajibiwa vizuri. Nini siri ya mafanikio hayo? Je,nimwamini Mayala kuwa ni IQ kubwa? ,na je,wote wanaosoma shule za Kilimanjaro ni wazaliwa?
 
hiyo haijaanza Leo,kule hawaitegemeagi serikali sana mambo mengi wanafanya wenyewe,hususan ujenz wa shule zahanat nk kule hakuna uhaba wa huduma KBS
ndio maana n mkoa unaoongoza kwa kuwa na shule nyingi
pia kule machame kuna kijiji fulan wamechanga hela wanaweka lami yao binafsi ktk hicho kijiji
Luambo? Serious wanachangia hata lami? Shida moja,siku hizi hata TV nyingi zimeacha kurusha habari nyingi za huko kama zamani( mf.vikundi vya kinamama na kazi zao). Nitatembelea huko kujifunza.
 
Ndio raha ya kuishi huu mkoa!! hakuna mabashite huku!! ELIMU, BIASHARA na UMOJA ndio nyenzo zetu!
Daaq wachaga wanajiendeleaa wenyewe yani wao hawapeleki malalamiko kwa serikali kwamba hakuna Huduma ya kijamii kama mikoa mingine huku shule ni ww tuu tena zenye maadili na elimu bora
 
Asante kwa hilo. Hoja yangu bado haijajibiwa vizuri. Nini siri ya mafanikio hayo? Je,nimwamini Mayala kuwa ni IQ kubwa? ,na je,wote wanaosoma shule za Kilimanjaro ni wazaliwa?
IQ pia inachangia,huwez fananisha iq ya MTU w kule na IQ ya mla kiwavijeshi wa Dodoma
kuhusu wazawa n asilimia kubwa n wazawa si unajua o level wengi n shule za kata?
 
Luambo? Serious wanachangia hata lami? Shida moja,siku hizi hata TV nyingi zimeacha kurusha habari nyingi za huko kama zamani( mf.vikundi vya kinamama na kazi zao). Nitatembelea huko kujifunza.
iam serias kuna kijiji kule machame wamekubaliana KBS kuwa wachange wajenge lami ndan ya kijini chao
kule Kilimanjaro n kitu cha kawaida kukuta magorofa yamejengwa katikati ya migomba na kahawa,na nyumba za kule n za hadhi ya juu hadi mifugo inalala nyumba yenye grill
 
Punguzeni ushamba, watu waliosoma na wenye akili hawawezi kuwa na analysis ya kitapiamlo km hii. wanaosoma shule zilizo ndani ya huo mkoa siyo wote ni wenyeji wa huko, ni watanzania kutoka mikoa mbalimbali, ukweli ni kwamba mmelost mnajaribu kiki za kijinga bila kujua mnazidi kujidhalilisha
Unalalamika nn mkuu ww ni wakagera huku hakuna shule za kijinga kama huko pwani au mikoa mingine huku watu wamewekeza kwenye elimu nikikutajia shule za kikatoliki zinaweza zidi za mkoa mzima uliotoka hapo bado tunaza watu binafsi pili
Why mtu anachoma nauli toka mtwara to Kilimanjaro hii ni sababu ya ubora na malezi mema kwa mwanafunzi via bei ni nzuri
 
Unalalamika nn mkuu ww ni wakagera huku hakuna shule za kijinga kama huko pwani au mikoa mingine huku watu wamewekeza kwenye elimu nikikutajia shule za kikatoliki zinaweza zidi za mkoa mzima uliotoka hapo bado tunaza watu binafsi pili
Why mtu anachoma nauli toka mtwara to Kilimanjaro hii ni sababu ya ubora na malezi mema kwa mwanafunzi via bei ni nzuri
shukrani mkuu kwa kumjibu Huyu mzilankende wa kagera
wao n misifa tu mkoa wao hauna kitu kbs
 
Back
Top Bottom