YanabikwaMoja Kwa Moja kwenye maada kulikoni Baraza la mitihani NECTA kuchelewa kutangaza matokeo ya kidato Cha nne ikilinganishwa na mwaka Jana ambapo matokeo yaliwahi kutangazwa vilivile mwaka juzi. Je kuondoka Kwa Msonde kumesababisha hili?
Muandalie Ada ya cherehani mapemaniko na ndugu yangu kakonda huyo🤣🤣kwa wasiwasi wamatokeo yake.
nipo naye ofisini kwangu.namfundisha biashara zanguMuandalie Ada ya cherehani mapema
Umefanya vizuri sananipo naye ofisini kwangu.namfundisha biadhara zangu
Mwaka Jana yalitoka pamoja na ya form two mkuu. Kumbuka utaratibu wa kusahihisha mwaka Jana na mwaka huu ni ule uleHata mtihani mwaka jana walichelewa kufanya. Kwahiyo ilitegemewa matokeo kuchelewa
Hili nalo neno!!Yanabikwa
Subira yavuta kheriMoja Kwa Moja kwenye maada kulikoni Baraza la mitihani NECTA kuchelewa kutangaza matokeo ya kidato Cha nne ikilinganishwa na mwaka Jana ambapo matokeo yaliwahi kutangazwa vilivile mwaka juzi. Je kuondoka Kwa Msonde kumesababisha hili?
Acha vitisho,wanarekebisha(standardize) 😂😂😂😂Subiri Andaa Ada ya veta Mapema, maana yanaachiwa wiki ijayo Kuna four na zero tu ,one three na two ni zakutafuta kwa tochi yaani hatari
Kweli eeeehhhh!!!!😂😂😂😂😂Kwa matokea ya form II yalivyo unadhani ya form IV yatakuwaje? Tulio na watoto waliomaliza 2022 tufunge na kuomba hali iwe ya kawaida. Kwa dalili zilivyo kuna kilio.
Chuo alisomea wapi? Ali-graduate?Presha ya nini wakati form four faiure ndio wanaokula maisha?
Kuna rafiki yangu alipiga one ya 7 fom 4, na One ya tatu fom 6, yuko Canada anafanya kazi ya kubeba box... Wakati vilaza wanashikilia vyeo kwenye ofisi nyeti...