luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,258
Wakuu poleni na majukumu
Katika taarifa ya baraza la mitihani NECTA, mkoa wa kwanza kitaifa ni Kilimanjaro ambapo umepanda katika matokeo ya 2016/17 ilikuwa ya 5 kitaifa
Mkoa wa Kagera umeporomoka kutoka nafasi ya 3 mwaka 2016 hadi nafasi ya 9 mwaka 2017
pia Kilimanjaro ndio mkoa wa kwanza Tanzania kuwa na secondary nyingi
Katika taarifa ya baraza la mitihani NECTA, mkoa wa kwanza kitaifa ni Kilimanjaro ambapo umepanda katika matokeo ya 2016/17 ilikuwa ya 5 kitaifa
Mkoa wa Kagera umeporomoka kutoka nafasi ya 3 mwaka 2016 hadi nafasi ya 9 mwaka 2017
pia Kilimanjaro ndio mkoa wa kwanza Tanzania kuwa na secondary nyingi