KILIMANJARO: Lema na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hai wakamatwa na Polisi

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Jeshi la Polisi Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro linamshikilia Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema, pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hai Helga Mchomvu,

Wanatuhumiwakwa kukusanyika na kufanya mkutano usio halali wilayani humo, Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amethibitisha.


Lema amesema haya kuhusu kukamatwa kwake
Polisi wamevamia nyumbani kwa Mkti wa Halmshauri Hai Helga,wamemkamata dereva wangu na gari yangu nyumbani kwa Mkti Helga,nimepewa taarifa kuwa nina tafutwa Mimi.Nimeamua kuelekea kituo cha Polisi Hai. TUTAVUKA

Niliambiwa kosa langu ni kuja Hai bila kibali cha OCD wkt nakaa Arusha!Nikamuuliza OCD kama ana akili timamu? Akaniweka sero,akaniita tena akaniambia,nisirudie kuja Hai bila kibali na niandike maelezo!nikamjibu,sijaona OCD mjinga hivi.Sasa nashitakiwa kwa kosa la kutaja sifa zake


Pia soma
 
Jeshi la Polisi Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro linamshikilia Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema, pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hai Helga Mchomvu, kwa kukusanyika na kufanya mkutano usio halali wilayani humo,

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amethibitisha.
 
Cha ajabu Wananchi wa eneo husika wapo tu, wametulia kanakwamba hakuna lililotokea.!! Ni mkutano gani Lema kafanya huko Hai? I mean Wananchi wa eneo husika mnakubali tu huu uonevu wa waziwazi?? Ooohh guys hawa watu wanachoka kushinda kila siku wakikuteteeni mpate haki zenu manazostahili lakini reaction yenu kwa kile eanachofanyiwa ni almost zero..!!

Shukuruni haijatokea Tunduma hii.. Pole sana Lema na Katibu wako.. Wananchi wa Hai especially Wanachadema mnalo la kujibu hapa..

BACK TANGANYIKA
 
Cha ajabu Wananchi wa eneo husika wapo tu, wametulia kanakwamba hakuna lililotokea.!! Ni mkutano gani Lema kafanya huko Hai? I mean Wananchi wa eneo husika mnakubali tu huu uonevu wa waziwazi?? Ooohh guys hawa watu wanachoka kushinda kila siku wakikuteteeni mpate haki zenu manazostahili lakini reaction yenu kwa kile eanachofanyiwa ni almost zero..!!

Shukuruni haijatokea Tunduma hii.. Pole sana Lema na Katibu wako.. Wananchi wa Hai especially Wanachadema mnalo la kujibu hapa..

BACK TANGANYIKA
Hili ndilo swali gumu kulijibu, la 'wananchi.'
Hii sio hali ya kawaida kabisa duniani kote, 'wananchi' wawe kama wao hayawahusu kabisa..., kuna jambo gani lililojificha?

Hata hao waliokuja kwenye mkutano, walikuja kufanya nini? Kukaa na kusikiliza tu halafu na kuondoka?

Inabidi CHADEMA wajiulize maswali haya. Kama wananchi hawaoni umhimu wa wao kuwepo, ya nini hawa viongozi waendelee kujitoa mhanga?
 
Tatizo ni mihimili mikuu inaongozwa na watu waliojikatia tamaa ya kuishi kila si wanameza ma ARV, haya madawa ni makali mtu aliyotumia kwa mda mrefu yanaathiri uwezo wake wa kufikiri na kuamua
Siasa zako zisikufanye unyanyapae wanao tumia ARV, Hakuna familia ambayo haina Endugu, jamaa au rafiki ambaye hatumi izo ARV, unapo andika mambo yahusuyo jamii usiweke mihemko ya kuwakwaza wengine, Siasa zisikufanye uwe Mwehu.
 
Wakati mwingine unaweza kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu ni wapi hawa viongozi wa serikali wanapata nguvu hii na huu unyanyasaji kwa raia!! Na imekuwa ajabu sana hata mh. Rais yupo kimya kwa matendo haya kwa wateule wake hii inadhihirisha anawatuma kufanya haya. Ila ipo siku Mungu atanyoosha mikono yake kwa maovu haya

 
Wakati mwingine unaweza kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu ni wapi hawa viongozi wa serikali wanapata nguvu hii na huu unyanyasaji kwa raia!! Na imekuwa ajabu sana hata mh. Rais yupo kimya kwa matendo haya kwa wateule wake hii inadhihirisha anawatuma kufanya haya. Ila ipo siku Mungu atanyoosha mikono yake kwa maovu haya

Mbinu anazotumia sebaya ni ushamba wa kiwango cha lami.
Kazi ya mkuu wa wilaya imekuwa kama ujambazi na uhuni uliopituliza .
Na hii ni kwasababu tunarais mpumbavu na watendaji wake ni wapumbavu ,ndo maana tunawaambia hii ni serikali ya wapumbavu na washamba wa madaraka.
 
Jeshi la Polisi Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro linamshikilia Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema, pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hai Helga Mchomvu,

Wanatuhumiwakwa kukusanyika na kufanya mkutano usio halali wilayani humo, Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amethibitisha.

Pia soma
Sabaya ana mwisho mbaya sana
Stay strong Lema ni mapito mpumbavu tunamjua
Clip inaendelea Kurt end big time
 
Cha ajabu Wananchi wa eneo husika wapo tu, wametulia kanakwamba hakuna lililotokea.!! Ni mkutano gani Lema kafanya huko Hai? I mean Wananchi wa eneo husika mnakubali tu huu uonevu wa waziwazi?? Ooohh guys hawa watu wanachoka kushinda kila siku wakikuteteeni mpate haki zenu manazostahili lakini reaction yenu kwa kile eanachofanyiwa ni almost zero..!!

Shukuruni haijatokea Tunduma hii.. Pole sana Lema na Katibu wako.. Wananchi wa Hai especially Wanachadema mnalo la kujibu hapa..

BACK TANGANYIKA
Wananchi wote wa Tanganyika wapo kizobazoba kama hao wa hapo Hai. Hakuna sehemu yenye nafuu ya kumcheka mwingine.
 
maovu haya hayakemewi wala kuchukuliwa hatua na walio juu ya sabaya kwani amefanya uovu mwingi lakini wakubwa wake wanamwacha tu. Mwenyenzi Mungu sio wa namna yenu, ipo siku atashusha gharika yake kwenu ndipo itakuwa kilio na kusaga meno. Inshallah!
 
Big up Mh.Lema wajinga watakutesa na kukupotezea muda, hata kukudhuru! hakika historia ya taifa letu itakukumbuka kwa kusubutu kusema ukweli live bila unafiki kwa Dc Sabaya na watawala. Long live Lema.
 
Huyu Sabaya ni makalio kweli yaani anatumia nguvu kubwa kuangusha CHADEMA wakati yeye mwenyewe ni ANGUKO kubwa kwa uwepo wake kama kiongozi ni wa kushindwa kuongoza bali mshindi kwa kutafuta kiki.
 
Back
Top Bottom