Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,420
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwamba wa Siasa nchini Tanzania na Muasisi wa Siasa za Kisasa kwenye Ukanda wa Maziwa Makuu, leo ameingia Biharamulo Mkoani Kagera na kupokelewa na umati wa wananchi.
Kama kawaida, somo lililo ubaoni ni Katiba Mpya, Tume Huru ya Uchaguzi na Mkataba mbovu wa Bandari za Tanganyika. Wananchi wote Wameelewa somo hilo kinaga ubaga.
Jambo jipya lililojitokeza ni kuvunjwa kwa rekodi ya mahudhurio tangu mikutano hivyo ianze Mkoani Kagera (Ikumbukwe kwamba mikutano hii ni ya ngazi ya kata tu).
Hii hapa ni Kata ya Nyakahula.
Kama kawaida, somo lililo ubaoni ni Katiba Mpya, Tume Huru ya Uchaguzi na Mkataba mbovu wa Bandari za Tanganyika. Wananchi wote Wameelewa somo hilo kinaga ubaga.
Jambo jipya lililojitokeza ni kuvunjwa kwa rekodi ya mahudhurio tangu mikutano hivyo ianze Mkoani Kagera (Ikumbukwe kwamba mikutano hii ni ya ngazi ya kata tu).
Hii hapa ni Kata ya Nyakahula.