Kilimanjaro imejaa barafu ya kutosha

Somi

JF-Expert Member
Feb 7, 2009
3,604
4,357
Tofauti na wanasayansi wanavyotabiri barafu Inaendelea kuwa nyingi Kwenye mlima Kilimanjaro

7AE31FAD-322C-4385-B8F0-EE5573BF476E.jpeg
FE5B7B1C-D08D-4588-B4CB-104B6B921D14.jpeg
E7B43B16-2F2B-4A42-9672-7D8539927C91.jpeg
E63B37A1-E88E-46B4-899F-28715E7510DD.jpeg
 
Umepiga kutokea kibosho. Kwa upande wa Tarakea hadi Rongai huwa kuna barafu haiyeyuki! Sababu jua linachomozea upande ule.huu upande mwingine jua linapiga sana hadi lizame barafu imepata shida sana.
 
Wanasayansi wenyewe kazi yao kufanya prediction tu.

Hamna lolote
Inawezekana na mapendekezo waliyotoa yamefanyiwa kazi kiasi, ndio maana unaona hali inakuwa nzuri. Au unahisi hawatakiwi kujihusisha waangalie tu, miti ilivyokuwa inakatwa?
 
Back
Top Bottom