Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 4,907
- 7,123
Kampuni kongwe ya mabasi ya kilimanjaro express inahali mbaya kutuzama basi yake tu. Imebakia kujivunia jina ambalo sasa nalo sioni kama litadumu.
Mara kadhaa mabasi yao yamekuwa yakipata hitirafu barabarani.
Unaweza ukawa umekata VIP mkajikuta mmeletewa kolokwinyo la kuwafikisha tu.
Leo tena, namsindikiza abiria kindakindaki wa hiyo kampuni yamemkuta ya kenge.
Binafsi sitalitumia basi hilo wala kumkatia mtu tiketi hadi watakapo amua kufanya uwekezaji.
Mara kadhaa mabasi yao yamekuwa yakipata hitirafu barabarani.
Unaweza ukawa umekata VIP mkajikuta mmeletewa kolokwinyo la kuwafikisha tu.
Leo tena, namsindikiza abiria kindakindaki wa hiyo kampuni yamemkuta ya kenge.
Binafsi sitalitumia basi hilo wala kumkatia mtu tiketi hadi watakapo amua kufanya uwekezaji.