Huwa unaziota siasa weweHapa kwetu biashara hiyo ovu imeingia mpaka kwa wanasiasa na wafanya biashara wakubwa.
Kiukweli moto Mbaya du!Siwaonei huruma hata kidogo sema waliowaua hawajui kutesa ingekuwa mimi ningewakata kiuongo kimojakimoja had wafe. Hapo wamepata maumivu ya mda mfupi sana.
Duc in Altum
Bado unakuwa umewapendeleahawakufanya sawa. Adhabu iliyowastahili hawa ni kukatwa miguu na mikono aaf waachwe hai
"...Aise mbona korodani hazijaungua vizuri? "Hiki ndo kilichowakuta waliokamatwa na viungo vya albino huko Malawi!!![]()
Dah umenifanya nicheke ,unaua kwa upanga ,utakufa kwa upanga tu"...Aise mbona korodani hazijaungua vizuri? "
"..Kabisa kabisa, au wangewachuna ngozi walete tutengenezee mikanda huku wao si wauaji"Dah umenifanya nicheke ,unaua kwa upanga ,utakufa kwa upanga tu