KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,075
NYONYO LAMPOTEZA MWANAUME"....
Katika basi mama mmoja alitaka kumnyonyesha mtoto, akakataa kunyonya.
Mama akamwambia mwanae: Nyonya, kama hutaki nampa "anko" anyonye.
Anko ni kaka mmoja abiria aliyeketi na huyo mama.
Mtoto akanyonya kidogo kisha akaacha.
Mama akamtishia tena nampa anko.
Ndipo yule kaka kwa hamaki akasema: "mama uwe na msimamo. Unajua nimepitiliza vituo vinne kwa ajili yako", hebu kuwa mkweli...! Unanipa ninyonye au nishuke?
Katika basi mama mmoja alitaka kumnyonyesha mtoto, akakataa kunyonya.
Mama akamwambia mwanae: Nyonya, kama hutaki nampa "anko" anyonye.
Anko ni kaka mmoja abiria aliyeketi na huyo mama.
Mtoto akanyonya kidogo kisha akaacha.
Mama akamtishia tena nampa anko.
Ndipo yule kaka kwa hamaki akasema: "mama uwe na msimamo. Unajua nimepitiliza vituo vinne kwa ajili yako", hebu kuwa mkweli...! Unanipa ninyonye au nishuke?