Kilichotokea kati ya NEC NA ZEC...

Kilichotokea kati ya NEC NA ZEC...

Ok9

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
4,556
Reaction score
4,162
Ng'ombe amechinjwa pale zanzibar, akagawanywa katikati. Nusu ikabaki zanzibar na nusu ikaletwa bara. Kabla hatujaanza kumla, daktari wa mifugo pale zanzibar akatangaza kuwa nyama ya ng'ombe huyo haifai kwa matumizi ya binadamu hivyo wazanzibari wasimle!! Sisi huku bara tunang'ang'ana kumla kwa madai kuwa ile nusu iliyobaki zanzibar ndio ina shida hii iliyokuja huku iko poa!!
 
Ng'ombe amechinjwa pale zanzibar, akagawanywa katikati. Nusu ikabaki zanzibar na nusu ikaletwa bara. Kabla hatujaanza kumla, daktari wa mifugo pale zanzibar akatangaza kuwa nyama ya ng'ombe huyo haifai kwa matumizi ya binadamu hivyo wazanzibari wasimle!! Sisi huku bara tunang'ang'ana kumla kwa madai kuwa ile nusu iliyobaki zanzibar ndio ina shida hii iliyokuja huku iko poa!!


Ati nini?
 
😳😳😳😳 mh!
Ng'ombe amechinjwa pale zanzibar, akagawanywa katikati. Nusu ikabaki zanzibar na nusu ikaletwa bara. Kabla hatujaanza kumla, daktari wa mifugo pale zanzibar akatangaza kuwa nyama ya ng'ombe huyo haifai kwa matumizi ya binadamu hivyo wazanzibari wasimle!! Sisi huku bara tunang'ang'ana kumla kwa madai kuwa ile nusu iliyobaki zanzibar ndio ina shida hii iliyokuja huku iko poa!!
 
Mkuu Wa Shule Amefuta Matokeo Ya MTIHANI Kwa Vile Mtt Wake Amefeli MTIHANI!!! Baada KUSHINDWA Kumpatia Mtt Wake MAJIBU Au Nafasi Ya Kupiga Chabo!! SWALI Je, Ingekuwa Amefeli Mwanafunzi MWINGINE Kati Ya WALIOFANYA MTIHANI Na Mtt Wa Mkuu Wa Shule, Angeamuru MATOKEO Ya MTIHANI Yafutwe!!!!??? Somo Muhimu MATOKEO Ya MTIHANI Hayawezi Kuwa Batili Kwa Vile Mtt Wa Mkuu Wa Shule Amefeli!!!
 
Mkuu Wa Shule Amefuta Matokeo Ya MTIHANI Kwa Vile Mtt Wake Amefeli MTIHANI!!! Baada KUSHINDWA Kumpatia Mtt Wake MAJIBU Au Nafasi Ya Kupiga Chabo!! SWALI Je, Ingekuwa Amefeli Mwanafunzi MWINGINE Kati Ya WALIOFANYA MTIHANI Na Mtt Wa Mkuu Wa Shule, Angeamuru MATOKEO Ya MTIHANI Yafutwe!!!!??? Somo Muhimu MATOKEO Ya MTIHANI Hayawezi Kuwa Batili Kwa Vile Mtt Wa Mkuu Wa Shule Amefeli!!!

haa haa uko sahihi mkuu..
 
Back
Top Bottom