Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Mpaka ligi inaanza bado watu wanasikika hawapo kambini.
Ilianzia kwa kocha Minziro, wenzao wanawatambulisha wachezaji kwa maana ya kujiandaa kwa ligi, ikasemekana yupo Dar na hajasaini mkataba wa kuendelea kuifundisha timu hiyo.
Jana tu ikasikika mchezaji G. Mpole hayupo kambini na akasikika anasubiri mkataba mpya au kujiunga na timu nyengine. Wakati akihojiwa alikuwa kwake Mbeya.
Hapa ndio natatizwa kwani timu hii inatuwakilisha kimataifa yaani mashindano ya CAF.
Sasa ni aidha kocha Minziro na mchezaji G. Mpole wamelewa sifa na kuanza kudai pesa nyingi ya kulipwa na klabu au uongozi kimpira hawako makini.
Ndio maana nawafananisha na USHAMBA tu walichokifanya.
Ilianzia kwa kocha Minziro, wenzao wanawatambulisha wachezaji kwa maana ya kujiandaa kwa ligi, ikasemekana yupo Dar na hajasaini mkataba wa kuendelea kuifundisha timu hiyo.
Jana tu ikasikika mchezaji G. Mpole hayupo kambini na akasikika anasubiri mkataba mpya au kujiunga na timu nyengine. Wakati akihojiwa alikuwa kwake Mbeya.
Hapa ndio natatizwa kwani timu hii inatuwakilisha kimataifa yaani mashindano ya CAF.
Sasa ni aidha kocha Minziro na mchezaji G. Mpole wamelewa sifa na kuanza kudai pesa nyingi ya kulipwa na klabu au uongozi kimpira hawako makini.
Ndio maana nawafananisha na USHAMBA tu walichokifanya.