TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,584
- 2,104
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKATIKA KWA UMEME KATIKA MIKOA ILIYOUNGWA KATIKA GRID YA TAIFA
Tunawataarifu Wateja wetu na Wananchi kwa ujumla kuwa, majira ya saa 8:49 Usiku kumetokea hitilafu katika mfumo wa Grid ya Taifa. Hitilafu iliyopelekea kukosekana kwa huduma ya umeme katika Maeneo na Mikoa yote iliyoungwa kwenye Grid ya Taifa.
Baada ya Hitilafu hiyo Kutokea, Mafundi na Wataalamu wa Shirika Wamechukua hatua za haraka na bado wako kazini Kuhakikisha kuwa Huduma ya Umeme inarejea mapema kadri iwezekanavyo.
Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.
Uongozi wa Shirika unaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.
Tafadhali usishike wa kukanyaga waya ulioanguka au uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo:
Kwa mawasiliano
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti: www.tanesco.co.tz, mitandao ya kijamii:
Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,
Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetu
IMETOLEWA NA:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU
MACHI 10, 2018
TAARIFA YA KUKATIKA KWA UMEME KATIKA MIKOA ILIYOUNGWA KATIKA GRID YA TAIFA
Tunawataarifu Wateja wetu na Wananchi kwa ujumla kuwa, majira ya saa 8:49 Usiku kumetokea hitilafu katika mfumo wa Grid ya Taifa. Hitilafu iliyopelekea kukosekana kwa huduma ya umeme katika Maeneo na Mikoa yote iliyoungwa kwenye Grid ya Taifa.
Baada ya Hitilafu hiyo Kutokea, Mafundi na Wataalamu wa Shirika Wamechukua hatua za haraka na bado wako kazini Kuhakikisha kuwa Huduma ya Umeme inarejea mapema kadri iwezekanavyo.
Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.
Uongozi wa Shirika unaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.
Tafadhali usishike wa kukanyaga waya ulioanguka au uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo:
Kwa mawasiliano
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti: www.tanesco.co.tz, mitandao ya kijamii:
Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,
Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetu
IMETOLEWA NA:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU
MACHI 10, 2018