Bueno JF-Expert Member Joined Aug 16, 2022 Posts 34,610 Reaction score 59,579 Oct 29, 2024 #1 Wakuu & Wanabodi wa JF. Emu nisiwachoshe. Sina haja ya kuongea sana au kuelezea sana kuhusu hii issue, picha yenyewe tu inaongea zaidi. Ungekua wewe unafanyaje hapa?
Wakuu & Wanabodi wa JF. Emu nisiwachoshe. Sina haja ya kuongea sana au kuelezea sana kuhusu hii issue, picha yenyewe tu inaongea zaidi. Ungekua wewe unafanyaje hapa?
raraa reree JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 11,503 Reaction score 35,686 Oct 29, 2024 #2 Una piga hadi selfie 😄 kitako cha bunduki kina kuhusu wewe
blogger JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 13,394 Reaction score 16,725 Oct 29, 2024 #3 Pumbavu
N Nanye Go JF-Expert Member Joined Oct 29, 2018 Posts 14,381 Reaction score 19,080 Oct 29, 2024 #4 Hahaha kaa hapo hapo jifunze maujuzi, ni gani MKEO anapenda, jamaa akimaliza toka mwambie asante. Tuisheni ya bure hiyo.
Hahaha kaa hapo hapo jifunze maujuzi, ni gani MKEO anapenda, jamaa akimaliza toka mwambie asante. Tuisheni ya bure hiyo.
Rusumo one JF-Expert Member Joined Oct 4, 2018 Posts 3,537 Reaction score 4,435 Oct 30, 2024 #5 Una p Diddy?
S Stratopause JF-Expert Member Joined Mar 26, 2023 Posts 799 Reaction score 1,528 Oct 30, 2024 #6 Hahaha pole mwanakulitafuta mwanakulipata jiongeze
See For Me JF-Expert Member Joined Sep 7, 2022 Posts 630 Reaction score 1,815 Oct 30, 2024 #7 Hapo balaa una cheza kwenye Transformer
Bueno JF-Expert Member Joined Aug 16, 2022 Posts 34,610 Reaction score 59,579 Oct 30, 2024 Thread starter #8 Rusumo one said: Una p Diddy? Click to expand... Ndio nini?
Bueno JF-Expert Member Joined Aug 16, 2022 Posts 34,610 Reaction score 59,579 Oct 30, 2024 Thread starter #9 Stratopause said: Hahaha pole mwanakulitafuta mwanakulipata jiongeze Click to expand... Hapo ni timing na mlango tu break ya kwanza kwenye bodaboda au bajaj
Stratopause said: Hahaha pole mwanakulitafuta mwanakulipata jiongeze Click to expand... Hapo ni timing na mlango tu break ya kwanza kwenye bodaboda au bajaj
Alfu Lela U lela JF-Expert Member Joined Dec 30, 2016 Posts 316 Reaction score 535 Oct 30, 2024 #10 Tunu ya taifa inaenda na maji
Rusumo one JF-Expert Member Joined Oct 4, 2018 Posts 3,537 Reaction score 4,435 Oct 30, 2024 #11 Ambivert88 said: Ndio nini? Click to expand... Hiyo Banju bolt inapigwa tindo bila kupakwa grease mazee
Ambivert88 said: Ndio nini? Click to expand... Hiyo Banju bolt inapigwa tindo bila kupakwa grease mazee