heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,038
- 13,354
princewilly, ungeomba tu kitu angekupa vizuri tu, Ila kama unamwogopa unitumie kwa pm namba yake nami nikapunguze uzito hata magoli mawili tu.Leo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nikamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja.
Nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nikatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi, tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akapiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112.
Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.
Ikabidi aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike huku akitoa wekundu kadhaa akinipatia halafu akazama ndani huku akiniachia maswali huku nje
Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake
Wapoje hao wa mjini?Yuko vizur ni wale wa mama wa mjini
Kwaiyo unataka kusema?Shida ni moja..mimj huwa siamin kabisa kabisa kwenye inshu ya kutunza siri.
Mara nyingi sana Mtunziwaji siri, huwa hamuamin kabisa mtunza sir wake.
Nkm siri yenyewe nikubwaaa, basi roho ya Dhambi huanza kumvaa namatokeo yake ni kutaka kumpoteza huyo mtunza siri wake.
Kwa kesi kama yako, Mtunziwaji sir atakua na uhuru pale tu UTAKAPOMLA MZIGO NAWW.
Ni dhambi kubwa kufanya ivoKwaiyo unataka kusema?
[emoji23][emoji23]Na mwisho wa siku utaishia kumla,wabongo nawaelewa
Nawaelewa[emoji23][emoji23]
Kidogo tu anazigo la kiasiamefungasha??
princewilly Wewe ungemwambia kwamba hutaki hela badala yake unataka kupima oil, si ameshindwa kujiheshimu!! Ungempiga bao moja kwa kumuinamisha hapo kwenye kochi la reception fasta!
Mbona hii kama chai au kwasababu imepoa,Leo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nikamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja.
Nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nikatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi, tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akapiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112.
Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.
Ikabidi aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike huku akitoa wekundu kadhaa akinipatia halafu akazama ndani huku akiniachia maswali huku nje
Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake
Wewe tena hehehehehheeheh ningeshangaa usingeandika hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ningekua wew ungekuta huyo mama namtafuna wkend hii
Sasa hapo si una mblackmail tu...yan unajipigia siku yoyotw ukitaka,tena unamwambia ulikua unamtamani siku nyingi tu ulikosa pakuanzia[emoji23]Wewe tena hehehehehheeheh ningeshangaa usingeandika hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu alikupa sh ngapi??