Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,234
Kuna huyu jamaa Kumbusho Dawson ametoa sababu za Dotto Biteko kutupwa nje ya baraza la mawaziri ambalo pia ni haramu tu!
Dotto Mashaka Biteko ameachwa nje ya Baraza Jipya la Mawaziri. Dotto Biteko alihudumu kama Naibu waziri Mkuu na waziri wa Nishati kabla ya kutupwa nje ya baraza lililo tangazwa siku ya leo. Hii inaashiria nini?.
1. Kwanza alitukwaza sana, aliwezaje kwenye jimbo lake la Bukombe kupata kura 7,000 Elfu sabu tu, wakati wabunge wenzako wakijinyakulia kura za maruhani laki mbili na ushee kwenye majimbo yao?.
2. Kwa nini una hofu sana ya Mungu?...Kwenye siasa hupaswi kuwa na hofu ya Mungu. Kupata kwako kura elfu saba pekee jimboni kwako huoni kama ulisababisha mama kupunguza kura na kufanya mama apate kura Milioni 31 na laki tisa tu?. Ungepambana kwa cheo ulichokuwa nacho cha unaibu waziri Mkuu, huenda ungeongeza kura na ungefanikisha kura za mama kufika hata Milioni 33 hivi
Dotto Mashaka Biteko ameachwa nje ya Baraza Jipya la Mawaziri. Dotto Biteko alihudumu kama Naibu waziri Mkuu na waziri wa Nishati kabla ya kutupwa nje ya baraza lililo tangazwa siku ya leo. Hii inaashiria nini?.
1. Kwanza alitukwaza sana, aliwezaje kwenye jimbo lake la Bukombe kupata kura 7,000 Elfu sabu tu, wakati wabunge wenzako wakijinyakulia kura za maruhani laki mbili na ushee kwenye majimbo yao?.
2. Kwa nini una hofu sana ya Mungu?...Kwenye siasa hupaswi kuwa na hofu ya Mungu. Kupata kwako kura elfu saba pekee jimboni kwako huoni kama ulisababisha mama kupunguza kura na kufanya mama apate kura Milioni 31 na laki tisa tu?. Ungepambana kwa cheo ulichokuwa nacho cha unaibu waziri Mkuu, huenda ungeongeza kura na ungefanikisha kura za mama kufika hata Milioni 33 hivi