mwaarabu wa dubai
Senior Member
- Aug 5, 2015
- 100
- 44
Hiyo ndio Hali halisi ukweni Kwa Dk Slaa Asante sana Bukoba
Police wametuliaaaa
Muda huu Masha anaongea, Tambwe hiza ameshamwaga madini.....
Namuona Kichemu kwa nyuma, safi sana.Jamani nimeamua kujiselfie. Liwalo na liweee
Jamani mita kama ishirini kutoja hapo ni ziwa victoria. Upepo mwanana
Jamani nimeamua kujiselfie. Liwalo na liweee
Inakuwaje CCM nao wanapitapita na gari lao la matangazo ya Magufuli? Is this fair?
Jamani nimeamua kujiselfie. Liwalo na liweee
wenje akiwa rubale uko bukoba vijijini leo
Jamani nimeamua kujiselfie. Liwalo na liweee