DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,961
Kama kawaidayake EL...kamwaga mpunga watu wamekula...atakachoshuudia October....namuombea Mungu ampe nguvu kukabili matokeo
UKAWA hawawezi kununua watu wote wale, ni wao tu wamejipelekaWatu wamekula hela kwa mamia wengine wamejaziwa mafuta...kunywa viroba shauri yenu hela mnaliwa nchi haiendi kwa wanunua madaraka...raisi bora atatoka ccm
Mkuu nilienda kwa gharama yangu.Watu wamekula hela kwa mamia wengine wamejaziwa mafuta...kunywa viroba shauri yenu hela mnaliwa nchi haiendi kwa wanunua madaraka...raisi bora atatoka ccm
Watu wamekula hela kwa mamia wengine wamejaziwa mafuta...kunywa viroba shauri yenu hela mnaliwa nchi haiendi kwa wanunua madaraka...raisi bora atatoka ccm
Mkuu nilienda kwa gharama yangu.
Tatizo kubwa hapa sijui watawarudishaje hizo pesa kwa kuwa madarakani hawaingii kwa mtindo huo. Kweli cdm wamevamiwa na mafiisadi kweli.
Kama unaweza kununua huu mtiti ukakusindikiza kuchukua fomu, basi ushashinda kwani unauwezo wa kununua kura zao pia
Hii thread inanikumbusha msemaji wa Iraq Mohammed Saeed al-Sahha kipindi cha Saddam Hussein wakati Wamarekani wameshavamia ardhi ya Iraq, yeye anasema wamewauwa vibaya wakati wakijaribu kuingia kwenye ardhi yao mpaka wamerudisha majeshi nyuma.
Poleni ndugu zangu wa CCM, mafuriko ya jana yamewachoma mpaka ku-moyo! Mnatumia nguvu sana kujiaminisha kwamba watu wananunuliwa. Yaani mimi nawafahamu walioenda kwa mapenzi yao kabisa na hata EL wala watu wake hawawafahamu. Hapa unaongea hivyo ila kiongozi wako wa chama wanakuna vichwa.Watu wamekula hela kwa mamia wengine wamejaziwa mafuta...kunywa viroba shauri yenu hela mnaliwa nchi haiendi kwa wanunua madaraka...raisi bora atatoka ccm
Na CCM yale mafuriko ya kumsindikiza mgombea wenu wa Urais mliyanunua? Mwaka huu mtajinyea aisee. UKAWA wataua mtu. Lete ushahidi basi ndio tuendelee kujadili. Km huna shut up your mouth
bor huyu msemaji aliweza kusimama na akasema anachokiamini kama msemaji lakini ni aibu kwa taifa lenye wasomi unaomba nafasi ya juu kila mara unaomba msaada kwa lissu ni aibu kuriko hata ya huyo uliyemtolea mfanoila kama shule imekupita pembeni basi lazima utoe mifano kama hiyo
kweli hii nchi bado sana shule,eti mtu anaenda kusikiliza lowasa? anaongea nini kila dakika lissu ,ni aibu hata nyie mnaomshabikia pengine shule yenu ni ndogo sana kuriko hata mzee wenu maana haiwezekani msomi kabisa eti anasikiliza lowasa lazima wakupime akili
Jamaa mmoja kanichekesha sana kutoka Mwanza. Eti baada ya kuona zile picha kachukia kweli. Kisa! Eti jamaa wa Dar wanajifanya wao ndio wanajua kufanya Mafuriko, basi subiri Lowasa aje Mwanza wataona! Watu watatembea na mifuko ya kutemea mate maana hakuta kuwa na nafasi hata ya kutema mate.
Nikabaki nimeduaa!