Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
Zimebaki siku mbili tu ili tuweze kushuhudia mpambano wa Tuzo za Muziki za kili
Mpambano mkali unatarajiwa kati ya Kiba na Dimond
Tukae mkao wa kula.........
Hitmakers hawa wako kwenye upinzani unaohusianishwa na uadui unaotengenezwa na mashabiki wao
Watanzania wataamua nani zaidi katika uwezo wa kupiga kampeni na kukusanya kura.
Mpambano mkali unatarajiwa kati ya Kiba na Dimond
Tukae mkao wa kula.........
Hitmakers hawa wako kwenye upinzani unaohusianishwa na uadui unaotengenezwa na mashabiki wao
Watanzania wataamua nani zaidi katika uwezo wa kupiga kampeni na kukusanya kura.